Humphrey Polepole
Member
- Nov 15, 2010
- 19
- 230
Usikose kipindi Je Tutafika cha Mzee Makwaia leo saa 3 na Nusu Usiku katika Televisheni ya Channel 10. Huko tumezungumza Mchakato wa Katiba Mpya, Bunge Maalum na suala la Uraia Pacha. Karibu kusikiliza na kutizama ili Mjadala uendelee. Asante. Mjulishe na Mwingine.!