Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
jaman pole. . .
.....we acha tu!....
jaman pole. . .
Aaaa shemeji,
unaogopa majani na nyoka?
Mbona kaka yako alikuwa haogopi majani wala nyoka enzi hzo alipokuwa ananifukuzia kule kijijini kwetu Sitimbi?
Huyo hana kitu. Anagombana mods! Njoo kwangu
mwaaaaa
hope uko waliko watazipata. hujambo Kipipia. umekwenda church?
Charminglady! Hebu jitahidi basi kumfunza mumeo platozoom kusoma na kuandika!Mbona nilikuwa nakuaminia wa kwetu imekuaje unamume anayetakiwa kuhudhuria mafunzo ya ngumbaru? Najua utakuwa unashangaa kidogo ila ukutazama post yakeniliyoquote hapa utajua. Hebu mrekebishe kimyakimyampaka kingmario aniombe ruksa...we check jina mario
Charminglady! Hebu jitahidi basi kumfunza mumeo platozoom kusoma na kuandika!Mbona nilikuwa nakuaminia wa kwetu imekuaje unamume anayetakiwa kuhudhuria mafunzo ya ngumbaru? Najua utakuwa unashangaa kidogo ila ukutazama post yakeniliyoquote hapa utajua. Hebu mrekebishe kimyakimya