Du ndio nimezinduka maana jana nilikuwa nabembea pande za via via, ila poleni sana muendao job leo, nawatakieni kazi njema hadi mida ileee ya kukutana pale makalio bar kwa ajili ya nyama ya mbuzi
Mmmmhh! Nawe upo huko? Tupeane hai! Utanikuta anga hizo!
Waooo vizuri sana, ila mazoezi kimtindo ni muhimu ili kuchangamsha mwili na viungo
haha...ipo ndo mpya ukiwa unaelekea DUKA BOVU...KISONGO na likes!
afu msuba wa jan kijiweni haukua poa kabisa...
hakikua kitu cha MUSOMA eeh?...
i didnt get high!
haha...ipo ndo mpya ukiwa unaelekea DUKA BOVU...KISONGO na likes!
afu msuba wa jan kijiweni haukua poa kabisa...
hakikua kitu cha MUSOMA eeh?...
i didnt get high!
Kumbe kijiwe jana kimenipita eeh? Nasikitika ila kwakua nilikuwa natimiza ahadi ya kukutana face to face na mwanaJF kuweka mipango ya mbeleni vizuri sina budi kukubali.
mh hyo iko nchi gan mkuu?
Kama unasubiriwa si fanya mandingo uchoropoke fasta, umkate kiu mwenzio?
Si ni kiasi tu ya sunah, hajakwambia sana kiviiiile!
ok,thnx me mwenyewe bdo nipo kwa bed. . .yan naona raha nikiwa kitandan tuuu hata km cna ucngz. ndo starehe yangu kulala!
Vuta subira kidogo charminglady, kaniambia nitulie kwanza hadi tuweke agreement. Nimeona niridhie nisijekosa mafaida ya future. Akiridhia tu nawamwagiahaya mkuu tupe updates kama hutojali. umekutana na nani?
By the way who is TANMO?
By the way who is TANMO?
TANMO is a True African son: The Conqueror, The Healer, The Creator, The Majesty..
He is very:
..Tall
..Handsome
..Energetic
..Smart
..Hard working
..Kind
..Honest
..Courteous
..Candid
and the list goes on......................................................
..Sober
...Komando kipensi
..inter ze dragon
..Manyaunyau
..
and list goes on........................................