Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
I know I know.. u have not even considered how does Karamagi fits in the whole picture. Well, he does. As a matter of fact he fits in like a wedding ring to a bride! think about it.
MM vp leo umeamkaje tena?I know I know.. u have not even considered how does Karamagi fits in the whole picture. Well, he does. As a matter of fact he fits in like a wedding ring to a bride! think about it.
I know I know.. u have not even considered how does Karamagi fits in the whole picture. Well, he does. As a matter of fact he fits in like a wedding ring to a bride! think about it.
Karamagi ndiye aliyeilazimisha Tanesco kuingia mkataba wa Dowans baada ya kufanya mazungumzo ya siri na kina Picard na Tice huko Calgary Canada... Tanesco walikataa mara tatu lakin Waziri akashinda.
I know I know.. u have not even considered how does Karamagi fits in the whole picture. Well, he does. As a matter of fact he fits in like a wedding ring to a bride! think about it.
Kwa hiyo, haruhusiwi kufanya biashara.
Lipi kosa la Dowans?
Mbona mpaka leo mnahaha na post za pumba tu, hatujaiona hata moja ikisema kuwa kosa la Dowans ni hili hapa.
Karamagi ndiye aliyeilazimisha Tanesco kuingia mkataba wa Dowans baada ya kufanya mazungumzo ya siri na kina Picard na Tice huko Calgary Canada... Tanesco walikataa mara tatu lakin Waziri akashinda.
Lipi kosa la Richmond?Kwa hiyo, haruhusiwi kufanya biashara.
Lipi kosa la Dowans?
Mbona mpaka leo mnahaha na post za pumba tu, hatujaiona hata moja ikisema kuwa kosa la Dowans ni hili hapa.
ukikua utaelewa nini kinachozungumzwa!
Lipi kosa la Richmond?
Richmond walishindwa kutimiza ahadi za mkataba. Walishindwa kuleta mitambo walioahidi kuileta, au hujuwi hili na kesi ipo mahakamani, hapa Tanzania!
Sasa wewe jibu swali, ni lipi kosa la Dowans?
Richmond walishindwa kutimiza ahadi za mkataba. Walishindwa kuleta mitambo walioahidi kuileta, au hujuwi hili na kesi ipo mahakamani, hapa Tanzania!
Sasa wewe jibu swali, ni lipi kosa la Dowans?