Karamagi na Dowans - The Forgotten One

Dowans ni mrithi wa Richmond. Karithi yote uliyoyaeleza kuhusu Richmond.

Karithi? Unajuwa maana ya kurithi na unazijuwa sheria za mirathi au una kurupuka tu?

Bado hujajibu ni nini kosa la Dowans, wacha kubabaika.
 
Hamna lenu jambo, nyinyi ndio bado mawazo yenu yako nyuuma sana, mnakaa kuhangaika na fitna za kike, lakini hakuna mmoja wenu aliyekuja hapa akasema hili hapa kosa la Dowans, na mkizidiwa hoja huwa mnajibu utumbo, kama kawaida yenu. Mliposhindwa kura, mkaanzisha utumbo wa kutoimtambuwa Rais, mliposhindwa Arusha mkaanzisha fujo na watu wakafa, na mliposhindwa hili la Dowans sasa mnatafuta chokochoko kila upande, lakini hakuna hata moja la maana. Mpaka leo mmeshindwa kutueleza ni nini kosa la Dowans.

Unanikumbusha mtu mmoja anaitwa Mtweve
 
I know I know.. u have not even considered how does Karamagi fits in the whole picture. Well, he does. As a matter of fact he fits in like a wedding ring to a bride! think about it.
from fundi umeme saruji wazo to minister mpaka nchi inaangamia...he will pay for this soon...
 
from fundi umeme saruji wazo to minister mpaka nchi inaangamia...he will pay for this soon...

Hayo ni yako, tumeona mabilioneya wengi Tanzania na duniani ambao huwaita from rugs to riches, mmoja wao ni Bakhresa, Mengi, Mbowe (baba), na wengine wengi tu.
 
hivi sisiem inaweza kuendelea kupoteza muda wake katika enzi hizi.... naona kuna agent wake humu JF anahaha kweli kweli....... hivi jamani does this preacher of green's worship worth to undermine our efforts for real change... nimechoka
 
Hamna lenu jambo, nyinyi ndio bado mawazo yenu yako nyuuma sana, mnakaa kuhangaika na fitna za kike, lakini hakuna mmoja wenu aliyekuja hapa akasema hili hapa kosa la Dowans, na mkizidiwa hoja huwa mnajibu utumbo, kama kawaida yenu. Mliposhindwa kura, mkaanzisha utumbo wa kutoimtambuwa Rais, mliposhindwa Arusha mkaanzisha fujo na watu wakafa, na mliposhindwa hili la Dowans sasa mnatafuta chokochoko kila upande, lakini hakuna hata moja la maana. Mpaka leo mmeshindwa kutueleza ni nini kosa la Dowans.
kumbe unaongelea siasa. Zombie!
 
Hayo ni yako, tumeona mabilioneya wengi Tanzania na duniani ambao huwaita from rugs to riches, mmoja wao ni Bakhresa, Mengi, Mbowe (baba), na wengine wengi tu.
habari yako tambwe hiza.........umerudi ccm, umemlala mama yako kama ilivyokuwa ahadi yako ya kumchakachua mama yako kama utarudi CCM?
 
Back
Top Bottom