zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Mbona unajikanganya?
Nimejikanganya nini jibu swali, wacha kukwepa. Kam huna jibu sema sina jibu.
Mbona unajikanganya?
Dowans ni mrithi wa Richmond. Karithi yote uliyoyaeleza kuhusu Richmond.
Hamna lenu jambo, nyinyi ndio bado mawazo yenu yako nyuuma sana, mnakaa kuhangaika na fitna za kike, lakini hakuna mmoja wenu aliyekuja hapa akasema hili hapa kosa la Dowans, na mkizidiwa hoja huwa mnajibu utumbo, kama kawaida yenu. Mliposhindwa kura, mkaanzisha utumbo wa kutoimtambuwa Rais, mliposhindwa Arusha mkaanzisha fujo na watu wakafa, na mliposhindwa hili la Dowans sasa mnatafuta chokochoko kila upande, lakini hakuna hata moja la maana. Mpaka leo mmeshindwa kutueleza ni nini kosa la Dowans.
from fundi umeme saruji wazo to minister mpaka nchi inaangamia...he will pay for this soon...I know I know.. u have not even considered how does Karamagi fits in the whole picture. Well, he does. As a matter of fact he fits in like a wedding ring to a bride! think about it.
Karithi? Unajuwa maana ya kurithi na unazijuwa sheria za mirathi au una kurupuka tu?
Bado hujajibu ni nini kosa la Dowans, wacha kubabaika.
Unanikumbusha mtu mmoja anaitwa Mtweve
puppet
from fundi umeme saruji wazo to minister mpaka nchi inaangamia...he will pay for this soon...
Nani alinunua mitambo ya Richmond?Karithi? Unajuwa maana ya kurithi na unazijuwa sheria za mirathi au una kurupuka tu?
Bado hujajibu ni nini kosa la Dowans, wacha kubabaika.
kumbe unaongelea siasa. Zombie!Hamna lenu jambo, nyinyi ndio bado mawazo yenu yako nyuuma sana, mnakaa kuhangaika na fitna za kike, lakini hakuna mmoja wenu aliyekuja hapa akasema hili hapa kosa la Dowans, na mkizidiwa hoja huwa mnajibu utumbo, kama kawaida yenu. Mliposhindwa kura, mkaanzisha utumbo wa kutoimtambuwa Rais, mliposhindwa Arusha mkaanzisha fujo na watu wakafa, na mliposhindwa hili la Dowans sasa mnatafuta chokochoko kila upande, lakini hakuna hata moja la maana. Mpaka leo mmeshindwa kutueleza ni nini kosa la Dowans.
habari yako tambwe hiza.........umerudi ccm, umemlala mama yako kama ilivyokuwa ahadi yako ya kumchakachua mama yako kama utarudi CCM?Hayo ni yako, tumeona mabilioneya wengi Tanzania na duniani ambao huwaita from rugs to riches, mmoja wao ni Bakhresa, Mengi, Mbowe (baba), na wengine wengi tu.