Hivi wewe una akili sawa sawa kweli? ni Taifa lipi ambalo linaomboleza kifo cha mbakaji na mzinzi Kanumba? na unaposema watu bado wana machungu ni wewe na nani? maana mimi usije ukanihesabu kwenye kundi la wapuuzi.
Na kama uko Interested kujuwa hatma ya Lulu yeye ni under 17 na alikuwa anabakwa na huyu mbakaji na mzinzi Kanumba. Lulu she will be Acquitted, soon or later.
ww acha ujinga umati uliojitokeza siku ile leaders, wat zaidi ya miatano kuzimia na habari zilivyo jaa kweny tv zote niushahidi tosha kuwa watz walikuwa kwenye msiba wakiomboleza.