. Aisee mbavuuuu zanguuuuu!hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa I like this!Ni kama ccm kubadili jina na kuwa chama cha mazuzu. Nothing has changed
Inanikumbusha Nyerere alivyofanya kila hila kubadili jina la TANU.
Inanikumbusha Nyerere alivyofanya kila hila kubadili jina la TANU.
inanikumbusha nyerere alivyofanya kila hila kubadili jina la tanu.
Kwani Jina lilitakiwa lisibadilike? Ukiwa na chuki na mtu utachukia hata akienda msalani, utadai eti kakosea!