Pyaar
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 15,352
- 75,535
HAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Pole sana mkuu
Mwenyezi Mungu akawe mfariji kwako na kwa familia katika kipindi hiki kigumu mnachokipitia.
HAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
mimi naomba dawa ya kunitibia na Allergy maana natesekaPole, lakini lazima NIKUAMBIE UKWELII.
Hiyo unayoiita TIBA MBADALA ndio TIBA HALISI, Mimea ya asili yenye nguvu ya kukuponya na kuhuisha mwili dhidi ya maradhi ya aina yoyote.
Hayo MAKEMIKALI ndio yalipaswa kuwa TIBA MBADALA. Ukishafeli kutumia MIMEA SAFI (kitu ambacho hakiwezekani) sasa ndio ukajijaze MAKEMIKALI MACHAFU na MIONZI.
Mkiambiwa MNABEZA, ooohh MIMEA NI UCHAWI! Haya sasa!!!!! Umerudi kule kule!!!
Oooohh, wewe hujui sayansi, wewe mchawiii!! Sayansi yenyewe ndio hiyo, umelipa MAMILIONI ukajazwa MIONZI LUKUKI mpaka mwili ukaharibika zaidi na zaidi.
Najua kuna MAKANJANJA watanivamia hapa, lakini sijali. MIMI NAPASUA UKWELI TU, tukana, bwata, lakini HABARI IMEFIKA.
Poleni sana. Mungu akawe mfariji wenu ktk kipindi chote cha majonzi. Pole sana mkuuHAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Pole sana MkuuHAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Pole sana MkuuHAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Daaah! So sadHAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Pole sana jamani 😭😭😭😭. Amevipiga vita, mwendo ameumaliza, apumzike kwa amani, Amina. Ndio naona leo nimesikitika sanaHAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Pole Sana Kaka Mungu akufariji sanaHAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Pole sana kakaHAIJAWA BAHATI KWANGU, SARATANI IMESHINDA VITA YA KUPIGANIA UHAI NA MKE WANGU
Duhuuu pole sana kibibadamu imeniumiza sana Mwenyezimungu amrehemu sana mkeoPole sana kaka
Amrehemu Kwan alikuwa mdhambi hizi kauli hizi manake Usha hukumu. Najua Ni mazoea ila sio sawa.Duhuuu pole sana kibibadamu imeniumiza sana Mwenyezimungu amrehemu sana mkeo