Sifa za transfoma na katapila ni zipi ??
Teh teh teh nianzishe ili iwe nini?Kama unaumia anzisha kanisa watakuletea na wewe.
Kule kwenye maombi cha muhimu.ni Sadaka tu vingine havina umuhimu ndio maana hata zile ibada hazina formulaMimi sijui majina ya kihuni yana maana gani. Hebu kamuulize huyo aliyejipachika. By the way mbona bado hujaingia kanisani kwa transfoma uombewe wakati muda wa ibada ya makatapila na matingatinga na majenereta umefika, au wewe unaingia mwisho wakati wa kuikota sadaka ?
Kule kwenye maombi cha muhimu.ni Sadaka tu vingine havina umuhimu ndio maana hata zile ibada hazina formula