SOGHOO
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,268
- 566
Si nasikia anapandishaga wabebz kwenye ndinga yake...sasa sijui wanafanyaga nini!
Kuna mtu mmoja alimtuhumu kumchukua mke wake, kesho yake jamaa akajisahau akaponda eti WEWE NANI AMCHUKUE MKEO WAKATI KUNA WASICHANA WADOGO CHUNGU MBOVU. Mkewe yamemshinda ameondoka, hawezi kukaa na mwanamme asiyejiheshimu. Mtu mzima lakini watoto wadogo wanachezea nyeti zake. mwanamke gani atavumilia.
Na pale anawapata sana hasa wanaopenda kununuliwa magari