evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,330
hii haina fact....Kwa hio umekubali kuwa HAKUNA mtu Duniani anaetumia Jina moja tu bila kuwa na Jina la Baba yake.
majina ya baba yanakujaje ktk imani sasa....
swali lako halina logic
hii haina fact....Kwa hio umekubali kuwa HAKUNA mtu Duniani anaetumia Jina moja tu bila kuwa na Jina la Baba yake.
ndugu misipendi ubishi usio na faida mkuuevansGREATDeal mbona umekimbia?
Unaona aibu kusema "Hujui majina ya wazazi wa waandishi wa BIBILIA?.
Kutokujua sio Ujinga. Lkn kukaa kimya ni kuonyesha Udhaifu wako wa kutoijua Imani yako na kufuata km bendera inavyo fuata Upepo.
Rudi huku ujibu swali tafadhali.
Ahsanta
huwez kuniaminisha nikupe majina ndo ubatizwe...Ukinipa hayo majina ya WAZAZI wa hawa Waandishi wa AGANO JIPYA na mimi Nabatizwa leo.leo
Unaona ulivyo mpuuzi! Unazua maneno kwa kukosa Jibu.ndugu misipendi ubishi usio na faida mkuu
swala la jina la baba ndo linampeleka mtu mbinguni??
jamaa vipi,...ongea logic njoo kwenye mada....usiongee vitu hovyohovyo unajidhalilisha
jina la baba linahusiana nini na imani,unajiaibisha mkuu kahtaan
njoo kwenye logic.......alafu misibishani na mtu ambaye hana maarifa ya anachobishania....
we jifariji unajua bible wakat u mtupu..
Now your talking.ok sawa mi ni mpuuzi..
amini uaminivyo ni akili yako...
so point yako ni nini????
kma huamini existance ya hao waliondika hizo bible
ulikuwa unaquote nini saSA???
unaquote vipi kitu usichoamini creation zake??????????
mkuu we ni mzima kiakili?????
au all days nlikuwa namuelewesha shehe aliyedata??
Ngoja nikujibu ww khataan john baba yake ni zebedayo au unabishaTeh teh teh.
Wewe ndio unajiita Bible scholar.
Hao wasio na elimu ya Bibilia wana hali gani?
Umeshindwa kunipa majina ya Wazazi wa Waandishi wa BIBLIA
Kitu mambacho ni cha kawaida kabisa kwa binaadamu kukitambua.
Unapindisha uzi na kutukana.
Bora wasomaji wa Uzi huu waone namna Imani yako ilivyojaa Usanii.
Mtu asiejua Jina la Baba yake ni MTOTO WA ZINAA.
nakuuliza
Mathew,
Mark,
Luke .
Na
JOHN hawa ni Watoto wa ZINAA?
BABA ZAO KINA NANI?
Ngoja nikujibu ww khataan john baba yake ni zebedayo au unabisha
Hiv unazani mm na bahatisha kama ww soma marko 1:19:20 alafu uwe na akili ww shetaniTeh teh teh teh. Umekuja kubishana hapa! Jibu lisilo na ushahidi wa Andiko lilaaniwe.
La kwako tayari lina laana lkn juu ya kubahatisha kwako Nafurahi kuona wakristo wengine wamelisoma Swali hili muhimu.
Sasa fanyeni Homework .
Mi nasubiri jibu.
Ukristo ni dini iliyotengenezwa na watu ndio maana kila mara inabadilika mpaka wamefikia kuabudu sanamu la shetani. Sishangai kwa sababu hii dini haukutoka kwa Mungu.
Yesu ni Muislamu, (Paulo ndio mwanzilishi wa Ukristo).
Hayo maswali kamuulize kwanza Muhammad, zile haya zilizomshukia akiwa amepagawa mapepo zilitoka kwa Allah au Shatani.Unaona ulivyo mpuuzi! Unazua maneno kwa kukosa Jibu.
Hakuna sehemu nimesema Jina litakupeleka mbinguni.
Hakuna BINAADAMU YYT ktk uso wa hii Dunia ASIETUMIA JINA LA BABA. Au Jina La UKOO WAKE. ispokuwa ADAM Peke yake ambae Ndio Aliyekuwa BINAADAMU WA KWANZA.
Nimekuuliza ili sisi Tukubali kuwa Waandishi wa BIBLIA ni watu waliowahi Kuishi hapa duniani NA SIO UTAPELI basi Tunaomba Majina ya Baba zao.
Kuna logic zaidi ya hio?
Vipi mtu asiwe na JINA LA BABA halafu uite hio Ni LOGIC?
Unafahamu hata maana ya LOGIC?
Kumjua baba yao inakusaidia nini?Kijana usilete kiburi wakati andiko hulijui.
Marko 1:19 imewataja Yakobo na Yohana na kusema kuwa hawa ni ndugu.
Na Aliyepewa jina la Zebedayo hapa kwa upande wa Baba yake ni YAKOBO( JACOB ) ambae alikuwa na Watoto 12 .
na Sio Yohana. (JOHN).
Na Kauli hii ya Kumuita YAKOBO mwana wa ZEBEDAYO Yesu aliirudia ktk Marko 3:17.
undugu wa Yakobo na Yohana Sio undugu wa Baba mmoja. Bali ni baba wa Kufikia. Japo Yesu aliwaita Ndugu na pia ktk Mstari huo huo akawaita ni watoto wa ngurumo.
Yesu akawaita Yakobo, mwana wa Zebedayo, na Yohana nduguye Yakobo, akawapa jina la Boanerge, maana yake, wana wa ngurumo;
Sasa kwa akili yako Yesu alimaanisha ZEBEDAYO ndio NGURUMO?
Kwa mujibu wa ANDIKO mwenye kuitwa kwa majina yote mawili kwa wakati Mmoja ni YAKOBO peke yake.
Na Yohana Kaitwa Ni ndugu tu wa YAKOBO ktk kila mstari.
Unaleta Kiburi wakati Biblia huijui?
Nakuuliza Tena. Nani baba wa hawa Waandishi wa BIBLIA.?
MATHAYO.
MARKO.
LUKA.
YOHANA.
TATIZO LAO KUBWA NI KWAMBA HAWAJUI KAMA WAMEPOTEA, NA NDIO MAANA HAT KILE WANACHOKIAMINI WANAKICHAKACHUA. MF: AMRI KUMI, ZIKO ZA MUSA NA ZILE ZA KANISA LA RC, ZA RC NDIZO WANAZOZISHIKA SANA KULIKO KUMI ZA MUNGU ALIZOPEWA MUSA. BURE KABIS HAO.Wewe huoni faida ya kumtambua babako. Na hili ni tatizo la watoto wengi wa Zinaa.
Sisi wenye Baba ndio tunaojua faida yake.
Pole sana Mkuu.
Sikujua kama na Wewe Babako Humjui.
KIBWETELE STYLE, KUWENI MAKINI.
Wewe kumjua baba yao nakusaidia nini?
]
Ukishamjua wa halali na zinaa hiyo itakusaidia nini?Ili utambue Tofauti ya MTOTO WA ZINAA na Mtoto wa Halali Basi Mtoto wa Halali Lazima awe na Jina La BABA YAKE.
Sasa usikwepeshe Swali manake Makafiri ndio zenu hizo. Mkishaona Maji marefu mnaleta Kashfa na Matusi Ili Swali Lipotee.
Mnaaibisha UKRISTO namna hii!
Nipe majina ya BABA ZAO hawa WAANDISHI WA BIBLIA.
MATHAYO.
MARKO.
LUKA.
YOHANA.
Hawa BABA ZAO ni kina NANI?
Ahsanta.
Nataka jibu sio swali.Ukishamjua wa halali na zinaa hiyo itakusaidia nini?
YOHANA ni mwana wa ZEBEDAYO.Nataka jibu sio swali.
Wewe haya maji marefu. Hapa waimba kwaya sio mahala pao.
Nauliza MKRISTO YYT mwenye kujitambua.
Nipeni majina ya BABA ZAO hawa WAANDISHI WA BIBLIA.
MATHAYO.
MARKO.
LUKA.
YOHANA.
Hawa BABA ZAO ni kina NANI?