Nokla
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 3,168
- 1,709
Haihitaji ufahamu mkubwa kugundua kuwa madai yako ni uongo mtupu!
Wakati Yesu alikuja duniani hata babu wa babu wa mwanzilishi wa uislamu alikuwa hajazaliwa! Kwa hiyo uislam haukuwepo! Haiwezekani Yesu awe mwislam wakati uislam haikuwepo. Kwa faida ya baadhi ya watu ni kuwa Mwanzilishi wa uislam alizaliwa mwaka 570-karne ya tano baada Kristo(Yesu), wakati Yesu alizaliwa karne ya kwanza.
Nini maana ya uislam??