evansGREATDeal
JF-Expert Member
- Jan 4, 2016
- 4,013
- 2,330
Yesu Aliposema "kutazama kwa matamanio ni uzinzi" HAKUBADILI Sheria ya MZINZI KUUAWA bali aliongeze tu. Huko SIO KUREGEBISHA bali ni Kuongezea!
Yesu alisema ukimtamani umekwisha kuzini nae moyoni mwako,..
sasa YESU aliporekebisha vile alipunguza ukali wa ile sheria kutokana na kipindi hiki ni che neema,.. kuua ni dhambi(mathayo 19;18).
kutamani kupo moyoni kwa mtu,..
sasa kama mtu ametamani atakuwa amezini nae moyoni,.sasa mtu huyo ambaye amezini kwa njia ya moyoni
mtapiga vipi na zinaa iliopatikana kwa njia ya matamanio haikuonekana kwa njia ya macho yakawaida ,ipo moyoni?????
Mtu wa Mungu haiti wenzake WAPUUZI lkn nyie wafuasi wa PAULO bila kashfa Siku haijapita.
Narudia tena.
Mungu aliweka Sheria zake ktk TORATI na YESU alipokuja akasema ZISIBADILISHWE MPK SIKU YA MWISHO.
Wewe unadai Yesu hakubadili bali ALIZIREGEBISHA.
Wapi Yesu karegebisha Sheria Za TORATI?
Yesu Aliposema "kutazama kwa matamanio ni uzinzi" HAKUBADILI Sheria ya MZINZI KUUAWA bali aliongeze tu. Huko SIO KUREGEBISHA bali ni Kuongezea!
we huelewi,..
Yesu alisema ukimtamani umekwisha kuzini nae moyoni mwako,..
sasa YESU aliporekebisha vile alipunguza ukali wa ile sheria kutokana na kipindi hiki ni che neema,.. kuua ni dhambi(mathayo 19;18).
kutamani kupo moyoni kwa mtu,..
sasa kama mtu ametamani atakuwa amezini nae moyoni,.sasa mtu huyo ambaye amezini kwa njia ya moyoni
mtapiga vipi na zinaa iliopatikana kwa njia ya matamanio haikuonekana kwa njia ya macho yakawaida ,ipo moyoni?????
hilo apo,..Nasubiri jibu langu la Awali.
umeelewa