linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,701
- 4,325
Habarini Great Thinkers
Kwa wale wanaofahamu vizuri sheria za kazi. Kuna ndugu yangu anafanya kazi kwenye ofisi moja Dar mwajiri wao hawapi likizo ya mwaka. Ana miaka zaidi ya 10 hajawahi kupata likizo kwa kuwa hakuna huo utaratibu wa kuomba likizo. Naombeni ushauri afanyeje ili bosi wake afate taratibu na sheria za kazi?
Nawasilisha
Kwa wale wanaofahamu vizuri sheria za kazi. Kuna ndugu yangu anafanya kazi kwenye ofisi moja Dar mwajiri wao hawapi likizo ya mwaka. Ana miaka zaidi ya 10 hajawahi kupata likizo kwa kuwa hakuna huo utaratibu wa kuomba likizo. Naombeni ushauri afanyeje ili bosi wake afate taratibu na sheria za kazi?
Nawasilisha