Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,611
- 4,354
Mimi leo nitaongelea kamapuni moja tu inaitwa NIKKYO ambayo imenipa huduma nzuri mimi na marafiki zangu. Nimesha agizia marafiki zangu watatu kwa kupitia kampuni hii ya Kijapani ijulikanayo kama NIKKYO
www.nikkyocars.com
Hii kampuni haina jina kubwa Tanzania ila nilipata recommendation kwa rafiki yangu anaishi nchini Kenya
Baada ya kuifuatilia niligundua kuwa ipo kwenye Biashara tangu mwaka 1995 hivyo ni wazoefu wa Biashara ya Magari
Sifa zake nilizo ziona:
Yaani unafanya biashara kama vile upo naye hapa Dar Es Salaam (kwa simu, whatsApp, Skype na Email)
Unaweza kuwasiliana na Zia Obaid kupitia;
Najua yapo makampuni mengine maarufu huku mjini ila leo nimeamua kuongelea uzoefu nilioupata kwa hii kampuni
Angalizo: mimi sifaidiki chochote na hii kampuni ila nitasikitika kusikia mtu kapoteza hela kwa kununua gari bovu au kuibiwa hela wakati tungeweza kumsaidia BURE!
www.nikkyocars.com
Hii kampuni haina jina kubwa Tanzania ila nilipata recommendation kwa rafiki yangu anaishi nchini Kenya
Baada ya kuifuatilia niligundua kuwa ipo kwenye Biashara tangu mwaka 1995 hivyo ni wazoefu wa Biashara ya Magari
Sifa zake nilizo ziona:
- Wana wasiliana na wateja kwa haraka na kwa usahihi
- Magari yao hufanyiwa service kabla ya kusafirishwa hivyo ukipokea huna haja ya kwenda tena garage; wewe ni kujaza mafuta na kuondoka
- Wanauza magari yaliyokwenye hali nzuri; usitegemee kupata magari mabovu (mikweche kwao)
- Gharama zao zinaendana na ubora wa magari yao (kumbuka rahisi ni Ghali)
- Kama huna uzoefu wa magari, unaweza kutoa sifa ya gari unayoitaka na hivyo kupata ushauri wa bure kabisa na wa kiufundi kutoka kwa mafundi wabobezi
- Kununua gari NIKKYO huhitaji dalali wala mtu wa kati; unachotakiwa ni kujua kiingereza kidogo tu na mengine unafanya mwenyewe
- Unapata taarifa zote zinazo husu gari lako na shipping details. Unaweza kulifuatilia gari lako likiwa kwenye meli hadi linafika Dar na hata ukitaka ufikishiwe mkoani (ila utachangia ziada)
Yaani unafanya biashara kama vile upo naye hapa Dar Es Salaam (kwa simu, whatsApp, Skype na Email)
Unaweza kuwasiliana na Zia Obaid kupitia;
- WatsApp # +81 80 5985 6023
- Skype name; Nikkyo_ Obaid Zia
Najua yapo makampuni mengine maarufu huku mjini ila leo nimeamua kuongelea uzoefu nilioupata kwa hii kampuni
Angalizo: mimi sifaidiki chochote na hii kampuni ila nitasikitika kusikia mtu kapoteza hela kwa kununua gari bovu au kuibiwa hela wakati tungeweza kumsaidia BURE!