KAMPUNI MABASI YA DAR TANZANIA

Hayo ni maisha ya umaskini na kubebana na ndio athari za ujamaa, inalemaza hata uwezo wa kutumia akili. Haifai kila kitu utegemee kiwe cha bei ya chini halafu bado unataka huduma bora. Lazima umpe mwanabiashara uhuru wa kupiga mahesabu yake bila kukandamizwa, japo kwa kuhakikisha naye hatumii hiyo fursa kunyanyasa.

Unakuta mwenye daladala kaliachia hadi linakua chakavu maana faida anayopata ni kidogo sana, linakua chakavu na chafu na la kushangazaa Watanzania hadi hata wale wa kipato cha kati wote wanang'ang'ania na kubanana ndani ya hayo madaladala kisa alipe 300Tshs (15Kshs). Ukipenda kuishi maisha ya kimaskini/ujamaa na ubahili bila kupenda kutumia hela, ndivyo utakavyokua.

Jamaa kapiga suti ya bei, jinsi alivyovaa inadhihirisha ana kipato kizuri, lakini amebanana na wamama wauza samaki wa Kivukoni, humo ndani ya daladala chafu, linanuka halafu uongeze na joto ya Dar na foleni/jam ya kufa mtu. Eti anakwenda ofisini au kikao sehemu. Lakini hataki kulipa zaidi ya 300Tsh (15Ksh)
Nadhan umeng'aka kwenye bei tu. Ukasahau kila nchi inautaratibu wake. Tukisema kwamba hatununui magar ya ukweli kwa sabab hatuna uwezo Wa kulipa pia ukubali pia kuna haohao watz wana marcopolo paradiso 1800dd zambia. Sheria za kwetu ni tofaut na za kwenu. Mfano kuna urefu ukizid basis gar lako utalipunguza pia kuna ishu ya mizan. Kwenye ishu ya transportation hasa road watz tumejitahid sana tena mpaka nchi za wenzetu tumekata. Mfano msumbiji almost ya northern area imekamatwa tz ten MTU mbili lakin mnaojiita hardworkers zaid ya kuona mnakuwa watumishi na wauza uchi nchi za wenzenu. Kama mnabisha nipen investment ya maana inayomilikiwa na black Kenyan kama kina njoroge,muthon,njeri,kipsoi,
 
Huku kwetu hua hatupigwi cha juu unashangaa kuona sisi nauli bei rahisi ? Huku kwetu life rahisi ndio maana mnazamia maana hela unayotumia kununua maji ya kunywa huko kwenu Kenya huku sisi unaitumia siku nzima kula na mishemishe yote.endeleeni kuibiwa mshazoea
Walaa asikubabaishe mwambie alete risit ya zzile matatu zao za nairobi
 
Nadhan umeng'aka kwenye bei tu. Ukasahau kila nchi inautaratibu wake. Tukisema kwamba hatununui magar ya ukweli kwa sabab hatuna uwezo Wa kulipa pia ukubali pia kuna haohao watz wana marcopolo paradiso 1800dd zambia. Sheria za kwetu ni tofaut na za kwenu. Mfano kuna urefu ukizid basis gar lako utalipunguza pia kuna ishu ya mizan. Kwenye ishu ya transportation hasa road watz tumejitahid sana tena mpaka nchi za wenzetu tumekata. Mfano msumbiji almost ya northern area imekamatwa tz ten MTU mbili lakin mnaojiita hardworkers zaid ya kuona mnakuwa watumishi na wauza uchi nchi za wenzenu. Kama mnabisha nipen investment ya maana inayomilikiwa na black Kenyan kama kina njoroge,muthon,njeri,kipsoi,

Hehehe Naona nimekugusa pabaya kwa jinsi unavyokurupuka na kutokwa povu na kubadili gia hadi sielewi unachokiongea kuhusu.
Mambo ya investment za Waafrika weusi Kenya sina haja ya kuhangaika maana tulishawapa data za kutosha, unaweza ukatafuta mwenyewe.
 
Hehehe Naona nimekugusa pabaya kwa jinsi unavyokurupuka na kutokwa povu na kubadili gia hadi sielewi unachokiongea kuhusu.
Mambo ya investment za Waafrika weusi Kenya sina haja ya kuhangaika maana tulishawapa data za kutosha, unaweza ukatafuta mwenyewe.
Hahaaa labda sikuwepo anyway sijawahi sikia malalamiko kuhusu luxury buses za kwetu lakin kule TripAdvisor wanayaponda sana mabus yenu kuwa yanakutu na cockroaches sass na hiyo nauli yenyewe HIV Nairobi Mombasa ni km ngap kwa ksh1400 na unaambulia siti chini kuna kutu. Wakat kwetu dar Dom almost km500 kwa tsh 35000 na msosi juu
 
Hehehe Naona nimekugusa pabaya kwa jinsi unavyokurupuka na kutokwa povu na kubadili gia hadi sielewi unachokiongea kuhusu.
Mambo ya investment za Waafrika weusi Kenya sina haja ya kuhangaika maana tulishawapa data za kutosha, unaweza ukatafuta mwenyewe.
Bora nilipe kidogo ila nipate huduma za ukweli ndo maana tahmeed kwa kujua hatutaki panya kawachia hukohuko majeneza yenu huku full kipupwe
 
Hahaaa labda sikuwepo anyway sijawahi sikia malalamiko kuhusu luxury buses za kwetu lakin kule TripAdvisor wanayaponda sana mabus yenu kuwa yanakutu na cockroaches sass na hiyo nauli yenyewe HIV Nairobi Mombasa ni km ngap kwa ksh1400 na unaambulia siti chini kuna kutu. Wakat kwetu dar Dom almost km500 kwa tsh 35000 na msosi juu

Eti kutu, hivi unayajua mabasi ya Mombasa - Nairobi wewe, hehehehe!! Naona nabishana na mtu ambaye hajatoka kwenye mabanda ya Dar, kwaheri, sipotezi muda tena....

Japo itabidi nikuachie mapicha kadhaa ya mabasi ya Mombasa-Nairobi, labda yatakuamsha

1390635_607124162668478_1883465309_n.jpg


1503245_555596657857475_1873045101_n.jpg

12.jpg


1471774_576757002405504_699598016_n.jpg


1527062_555596837857457_354427409_n.jpg


1511320_746620505368060_413835764_n.jpg
 
Eti kutu, hivi unayajua mabasi ya Mombasa - Nairobi wewe, hehehehe!! Naona nabishana na mtu ambaye hajatoka kwenye mabanda ya Dar, kwaheri, sipotezi muda tena....

Japo itabidi nikuachie mapicha kadhaa ya mabasi ya Mombasa-Nairobi, labda yatakuamsha

1390635_607124162668478_1883465309_n.jpg


1503245_555596657857475_1873045101_n.jpg

12.jpg


1471774_576757002405504_699598016_n.jpg


1527062_555596837857457_354427409_n.jpg


1511320_746620505368060_413835764_n.jpg
Hehehe,
Mk254 wewe I am sure100% unaishi zaidi bongo kuliko Kenya, na I am sure totoz za kibongo na maisha ya kibongo yamekubamba sana.
Unajua kwenye usafiri wa mabasi hachomoki, tupo mbali sana, sana..

Ngoje niwape mapicha kadhaa hapa hao jamaa zako wa kilifi waone jinsi bongo kuzuri,
Either safiri kwenda Arusha (the A city) au Mbeya (the Green City), au Mwanza (the rock city), au Dodoma (mjengoni), au Tanga jiji la Maraha, au Tabora, au Iringa, au Kigoma mwisho wa reli, kote kote tz ni raha tupu..

In fact Kenya inazidi tz kwa GDP tu!!
Furahia hizi picha za baadhi ya usafiri luxury wa buses kwenda mikoani..
1477146442915.jpg
1477146456314.jpg
1477146465889.jpg
1477146480634.jpg
1477146488068.jpg
1477146500229.jpg
1477146519208.jpg
1477146523909.jpg
1477146529268.jpg
1477146536668.jpg
1477146544320.jpg
1477146564835.jpg
1477146570550.jpg
1477146584271.jpg
1477146596299.jpg
1477146606788.jpg
1477146614279.jpg
1477146630058.jpg
1477146637443.jpg


Unataka nyingine,
Karibu wikendi. Tupo Morogoro mji kasoro bahari Leo.
 
Hehehe,
Mk254 wewe I am sure100% unaishi zaidi bongo kuliko Kenya, na I am sure totoz za kibongo na maisha ya kibongo yamekubamba sana.
Unajua kwenye usafiri wa mabasi hachomoki, tupo mbali sana, sana..

Ngoje niwape mapicha kadhaa hapa hao jamaa zako wa kilifi waone jinsi bongo kuzuri,
Either safiri kwenda Arusha (the A city) au Mbeya (the Green City), au Mwanza (the rock city), au Dodoma (mjengoni), au Tanga jiji la Maraha, au Tabora, au Iringa, au Kigoma mwisho wa reli, kote kote tz ni raha tupu..

In fact Kenya inazidi tz kwa GDP tu!!
Furahia hizi picha za baadhi ya usafiri luxury wa buses kwenda mikoani..
View attachment 422432View attachment 422433View attachment 422434View attachment 422435View attachment 422436View attachment 422437View attachment 422438View attachment 422439View attachment 422440View attachment 422441View attachment 422442View attachment 422443View attachment 422444View attachment 422445View attachment 422446View attachment 422447View attachment 422448View attachment 422449View attachment 422450

Unataka nyingine,
Karibu wikendi. Tupo Morogoro mji kasoro bahari Leo.

Siishi Bongo ila nimetembelea mikoa yenu mingi zaidi ya wengi wenu. Nayajua mabasi yenu vizuri tu.. Japo hamwezi kufikia level ya Mombasa to Nairobi buses.

Vipi Moro kwa Wapogolo, wape salamu zangu akina Afande Sele na pia mzee Makamba babake January Makamba. Alinipa darasa kuhusu mengi kwa maisha.
Maeneo yangu yalikua hapo Msamvu, huo mji una dhambi nyingi sana japo kimya kimya.
 
Hehehe,
Mk254 wewe I am sure100% unaishi zaidi bongo kuliko Kenya, na I am sure totoz za kibongo na maisha ya kibongo yamekubamba sana.
Unajua kwenye usafiri wa mabasi hachomoki, tupo mbali sana, sana..

Ngoje niwape mapicha kadhaa hapa hao jamaa zako wa kilifi waone jinsi bongo kuzuri,
Either safiri kwenda Arusha (the A city) au Mbeya (the Green City), au Mwanza (the rock city), au Dodoma (mjengoni), au Tanga jiji la Maraha, au Tabora, au Iringa, au Kigoma mwisho wa reli, kote kote tz ni raha tupu..

In fact Kenya inazidi tz kwa GDP tu!!
Furahia hizi picha za baadhi ya usafiri luxury wa buses kwenda mikoani..
View attachment 422432View attachment 422433View attachment 422434View attachment 422435View attachment 422436View attachment 422437View attachment 422438View attachment 422439View attachment 422440View attachment 422441View attachment 422442View attachment 422443View attachment 422444View attachment 422445View attachment 422446View attachment 422447View attachment 422448View attachment 422449View attachment 422450

Unataka nyingine,
Karibu wikendi. Tupo Morogoro mji kasoro bahari Leo.
Hiyo picha ya interior umetoa kwa picha ya Tahmeed Coach ambayo inapiga route ya Malindi-Mombasa-Nairobi

55239932bdab805822affba4f1a6d13d.jpg


tahmeed.jpg


Wow: Is This Nairobi – Mombasa Bus The ‘first 5 Star Bus’ In Kenya (photos)



BTR pia tunakuja tu


 
BTR pia tunakuja tu


[/QUOTE]

Mkuu kwa hiyo video public transport system in nairobi is pathetic. Poleni sana aisee.
Kuna watu including myself tulikosoa sana BRT dar kwamba that amount of money we should've built flyovers, but now I realize kikwete alicheza karata dume.

Halafu BRT isn't only having buses in the city my friend, it has to meet certain conditions. They say a true BRT system must have a specialized design, services and infrastructure..
Like the one we have in Dar.
BRT is a nice thing to decongest cities,
Lazima mjenge miundombinu yake na sio buses only,
 
BTR pia tunakuja tu




Mkuu kwa hiyo video public transport system in nairobi is pathetic. Poleni sana aisee.
Kuna watu including myself tulikosoa sana BRT dar kwamba that amount of money we should've built flyovers, but now I realize kikwete alicheza karata dume.

Halafu BRT isn't only having buses in the city my friend, it has to meet certain conditions. They say a true BRT system must have a specialized design, services and infrastructure..
Like the one we have in Dar.
BRT is a nice thing to decongest cities,
Lazima mjenge miundombinu yake na sio buses only,[/QUOTE]


First you need to understand that almost all buses you see in the nairobi metro region are assembled in kenya, the bodies of the buses are completely made locally.... So there is a whole economy of many bisinesses and industries behind the matatu culture in kenya.... Thats why there is so much resistance to put public transport in the hands of the government...


then you should also know that bus you see their was bought by that company to pressure the government to create dedicated lanes for those long buses..... it wasnt bought just to be driven in regular traffic..

there are dedicated lanes bieng constructed in new roads and expressways led by outering road, and it will be bigger and better than yours... besides that, once the SGR phase 1 is 100% complete, there is a light rail project awaiting to be launched to cinnect to all nairobi metro region... hakuna mtu atakua anaeza tuambia lolote!
 
Hahahahaha Receivership tayari???? has it even been a year since ??? Where is geza ??? Hamna consumer market huko TZ???? I THOUGHT DAR WAS THE MOST POPULATED CITY IN EA ....mbona mabasi 51 zinawekwa receivership?
Hayakuhusu. Kenya sio tz sawa
 
Back
Top Bottom