Hapo kwenye RED ni wewe na nani???HAIJALISHI...Tunachoangalia ni nani anakuwa mshindi regardless ametumia tactics gani!
Hahaha mkuu mwache amechanganyikiwa huko Arumeru hali ni mbaya huwezi kuamini yaani wamebaki na baadhi ya wazee na vibibi....Hapo kwenye RED ni wewe na nani???
Zingatia matumizi ya umoja na wingi especially ukiwa na huu na mtazamo wako hasi.
mbona unajichanganya?
BTW, watu kuhudhuria kwa wingi kwenye mikutano siyo kigezo cha kupata ushindi!
Muda umeniishia nataka kuwahi knye halambee nita upload video kesho.....
Ushindi umesha tabiriwa kwenye gazeti la RAI,chadema acheni kuhangaika huko
mnapoteza hela.
HAPO JE ?
lema anasema kuanzia leo yuko rasmi meru
Acha kutudanganya wewe! unatuwekea picha za uzidunzi!
Kwanza hii inaonyesha watu wengi wamesombwa kutoka Msoga. Arumeru hakuna waislamu pambaf!
Usiogope kama uko kwa makamanda...tunashindaHakika hii mechi kali, tarehe moja April kuna mtu atalia kweli, Naogopa sana ushabiki kupindukia.
Kumbe mnajua kuwa majibu ni tarehe 1 sasa hizo takwimu mnazotoa kwenye magazeti mnazitoa wapi....wacha zako wewe , majibu ni tarehe moja nani ni nani tulia.