Kampeni za CHADEMA Arumeru - Updates

mkutano wa mwisho leo uko hapa akeli karibu kabisa na nyumbani kwa sumari, watu ni wengi sana huwezi kuamini kama ni nyumbani kwa sumari..)yuko dr slaa nasari, lema, na madiwani


Hii imekaa vizuri! Inaonyesha hata marehemu aliiba kura
 
mkutano wa mwisho leo uko hapa akeli karibu kabisa na nyumbani kwa sumari, watu ni wengi sana huwezi kuamini kama ni nyumbani kwa sumari..)yuko dr slaa nasari, lema, na madiwani
mbona unajichanganya?
BTW, watu kuhudhuria kwa wingi kwenye mikutano siyo kigezo cha kupata ushindi!
 
Pamoja na manyunyu ya mvua nwananchi wamekomaa kumsikiliza mhe. Mbuge mtarajiwa Nassari.
 
Kamanda yegella upo juu kama saa ya ukutani,upo juu sana mkuu...tupe zikiwa bado za moto ili masaburi waungue
 
Ebu tujikumbushe kidogo katika haya ili kuondoa ama kupunguza pressure huko Arumeru hapo 1st April 2012 (Foolish Day)

quote_icon.png
By Dr.W.Slaa (Katibu Mkuu Chadema)

WanaJF,
Niko uzini leo siku ya Tatu. Naomba niwahakikishie wanachadema na wapenzi wenu kuwa tutafanya mpaka kieleweke. Uzini wananchi ni waelewa sana. Wanapenda hoja na si porojo. Wanaopiga porojo kwenye jamvi hili au hawajui kinachoendelea on the ground au wanasukumwa na ushabiki tu kama walivyozoea. Uzini na Zanzibar iko tayari kwa mabadiliko makubwa. Uzini tofauti na watu wanavyofikiri Chadema ina matawi sasa kila Shehia katika Shehia (sawa na vijiji au mitaa bara). Jana nimezindua ofisi, matawi,maskani 7 katika majimbo mbalimbali nje ya Uzini mathalan Mfenesini,Magogoni, Bububu na kadhalika. Kwa hakika moto utakaowaka kutokea Bambi(Uzini) tunakozindulia Kampeni yetu kwa hakika utaunguza Zanzibar yote. Kwa bahati mbaya ndani ya Uzini hakuna network isipokuwa Zantel na hata hivyo hakuna mtandao (internet hadi uende mjinZanzibar. Ndio maana hakuna taarifa. Tunaomba radhi. Lakini kuanzia leo waandishi wa habari watakuwepo ambapo jioni wanaweza kuleta habari wakirejea mjini.
Narudia tena wananchi ni wakarimu sana. Kwa kuwa hakuna guesti kabisa wananchi wamewapokea timu yetu ya Kampein kwenye nyumba zao. Hii ni dalili njema. Tunawashukuru sana.


quote_icon.png
By Ng'wana Sweke (Kamanda)

Habari ndiyo hiyo,CHADEMA inaongoza shehia kibao.Stay tuned nitawamwagia full data muda si mrefu.


quote_icon.png
By Tumaini Makene (Afisa Habari Chadema)
Updates;

Ngoma sasa iko kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Uzini. Matokeo yanaendelea kukusanywa na kufanyiwa majumuisho kwenye kompyuta. Mechanism yetu pia inaendelea kukusanya matokeo yote ya kura zote na taarifa za mchakato mzima wa leo. Uchaguzi umetawaliwa na vitisho na ubabe mwingi. Mpaka sasa zipo taarifa juu ya CCM kuweka ofisi ndogo katika kila kituo cha kupigia kura. Wakiwakamata wapiga kura na kuwashikisha vitambulisho vya kupigia kura. Wakitoka kupiga kura anakuwepo mtu maalum anawapatia pesa.


quote_icon.png
By Tumaini Makene (Afisa Habari Chadema)
Msimamizi kamtangaza Mohamedraza Hassanal Mohamedali wa CCM kuwa mshindi kwa kura 5,377 (91.1%) akifuatiwa na Maalim Ali Mbarouk Mshimba wa CHADEMA, kwa kura 281 (4.8 %), wa CUF anafuatia akiwa na kura 223 (3.8), kisha TADEA kwa kura 14 (0.2%)na AFP kura 8. Jumla ya kura halali zilizopigwa ni 5,903 na zilizoharibika ni 28.

Sasa hii habari utaihamishia kwenye thread ngapi? huna kingine cha kusema?
 
Hii imekaa vizuri! Inaonyesha hata marehemu aliiba kura


Kamanda hilo la wizi wa kura ilishajulikana kitambo,

Na mwisho wao ndio ilikuwa ile.
Safari hii ni msako gheto kwa gheto!
Mpaka Watanzania wakomboleke!

Hawa sisiem wamezidi na wizi na hata hawana aibu chembe!
 
HAIJALISHI...Tunachoangalia ni nani anakuwa mshindi regardless ametumia tactics gani!

Mkuu Arumeru hamchomoki hata kwa hizo tactics za magumashi...zinajulikana na zinaendelea kujulikana na mbinu za kukabiliana nazo zinapangwa na makamanda kila siku.
 
Ebu tujikumbushe kidogo katika haya ili kuondoa ama kupunguza pressure huko Arumeru hapo 1st April 2012 (Foolish Day)

quote_icon.png
By Dr.W.Slaa (Katibu Mkuu Chadema)

WanaJF,
Niko uzini leo siku ya Tatu. Naomba niwahakikishie wanachadema na wapenzi wenu kuwa tutafanya mpaka kieleweke. Uzini wananchi ni waelewa sana. Wanapenda hoja na si porojo. Wanaopiga porojo kwenye jamvi hili au hawajui kinachoendelea on the ground au wanasukumwa na ushabiki tu kama walivyozoea. Uzini na Zanzibar iko tayari kwa mabadiliko makubwa. Uzini tofauti na watu wanavyofikiri Chadema ina matawi sasa kila Shehia katika Shehia (sawa na vijiji au mitaa bara). Jana nimezindua ofisi, matawi,maskani 7 katika majimbo mbalimbali nje ya Uzini mathalan Mfenesini,Magogoni, Bububu na kadhalika. Kwa hakika moto utakaowaka kutokea Bambi(Uzini) tunakozindulia Kampeni yetu kwa hakika utaunguza Zanzibar yote. Kwa bahati mbaya ndani ya Uzini hakuna network isipokuwa Zantel na hata hivyo hakuna mtandao (internet hadi uende mjinZanzibar. Ndio maana hakuna taarifa. Tunaomba radhi. Lakini kuanzia leo waandishi wa habari watakuwepo ambapo jioni wanaweza kuleta habari wakirejea mjini.
Narudia tena wananchi ni wakarimu sana. Kwa kuwa hakuna guesti kabisa wananchi wamewapokea timu yetu ya Kampein kwenye nyumba zao. Hii ni dalili njema. Tunawashukuru sana.


quote_icon.png
By Ng'wana Sweke (Kamanda)

Habari ndiyo hiyo,CHADEMA inaongoza shehia kibao.Stay tuned nitawamwagia full data muda si mrefu.


quote_icon.png
By Tumaini Makene (Afisa Habari Chadema)
Updates;

Ngoma sasa iko kwa Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Uzini. Matokeo yanaendelea kukusanywa na kufanyiwa majumuisho kwenye kompyuta. Mechanism yetu pia inaendelea kukusanya matokeo yote ya kura zote na taarifa za mchakato mzima wa leo. Uchaguzi umetawaliwa na vitisho na ubabe mwingi. Mpaka sasa zipo taarifa juu ya CCM kuweka ofisi ndogo katika kila kituo cha kupigia kura. Wakiwakamata wapiga kura na kuwashikisha vitambulisho vya kupigia kura. Wakitoka kupiga kura anakuwepo mtu maalum anawapatia pesa.


quote_icon.png
By Tumaini Makene (Afisa Habari Chadema)
Msimamizi kamtangaza Mohamedraza Hassanal Mohamedali wa CCM kuwa mshindi kwa kura 5,377 (91.1%) akifuatiwa na Maalim Ali Mbarouk Mshimba wa CHADEMA, kwa kura 281 (4.8 %), wa CUF anafuatia akiwa na kura 223 (3.8), kisha TADEA kwa kura 14 (0.2%)na AFP kura 8. Jumla ya kura halali zilizopigwa ni 5,903 na zilizoharibika ni 28.

wazee wa chenga twawala hao,wasikuumize kichwa
 
Mkuu Arumeru hamchomoki hata kwa hizo tactics za magumashi...zinajulikana na zinaendelea kujulikana na mbinu za kukabiliana nazo zinapangwa na makamanda kila siku.
Hata Igunga na Uzini mlisema hivi hivi...matokeo yake nadhani uliyaona!
 
Picture 013.jpg Polisi wakiwa wamekuja kuhakikisha usalama hata hivyo polisi hao walikosa kazi kwani mkutano ulkuwa salama salimini....
 
Back
Top Bottom