Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
mkutano wa mwisho leo uko hapa akeli karibu kabisa na nyumbani kwa sumari, watu ni wengi sana huwezi kuamini kama ni nyumbani kwa sumari..)yuko dr slaa nasari, lema, na madiwani
Hii imekaa vizuri! Inaonyesha hata marehemu aliiba kura