Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,699
- 113,989
Kesho ndio siku ya uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge baada ya leo kutangazwa majina ya wajumbe wa kamati hizo.
Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani waongoze kamati zipi. Hivyo CCM wameamua kuionyesha Chadema kuwa si lolote si chochote kwa kuhakikisha hawachaguliwi kuongoza kamati yoyote!.
Hivyo wameamua uenyekiti wa PAC kumpigia kura John Memosa Cheyo wa UDP, LAC watampigia Agostino Lyatonga Mrema wa TLP na POC itakwenda kwa mwanamama wa CUF.
Kama ni kweli hivyo ndivyo itakavyokuwa kesho, then Chadema wataongoza serikali kivuli kipofu maana haitakuwa na macho ya kuangalia ndani ya serikali baada ya kupoteza hizi over sight committies.
Habari hizi ni kwa mujibu wa corridors za Bungeni Dodoma.
Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani waongoze kamati zipi. Hivyo CCM wameamua kuionyesha Chadema kuwa si lolote si chochote kwa kuhakikisha hawachaguliwi kuongoza kamati yoyote!.
Hivyo wameamua uenyekiti wa PAC kumpigia kura John Memosa Cheyo wa UDP, LAC watampigia Agostino Lyatonga Mrema wa TLP na POC itakwenda kwa mwanamama wa CUF.
Kama ni kweli hivyo ndivyo itakavyokuwa kesho, then Chadema wataongoza serikali kivuli kipofu maana haitakuwa na macho ya kuangalia ndani ya serikali baada ya kupoteza hizi over sight committies.
Habari hizi ni kwa mujibu wa corridors za Bungeni Dodoma.