Kamati za Bunge: PAC-Cheyo, LAC-Mrema & POC-CUF!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,549
113,736
Kesho ndio siku ya uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge baada ya leo kutangazwa majina ya wajumbe wa kamati hizo.

Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani waongoze kamati zipi. Hivyo CCM wameamua kuionyesha Chadema kuwa si lolote si chochote kwa kuhakikisha hawachaguliwi kuongoza kamati yoyote!.

Hivyo wameamua uenyekiti wa PAC kumpigia kura John Memosa Cheyo wa UDP, LAC watampigia Agostino Lyatonga Mrema wa TLP na POC itakwenda kwa mwanamama wa CUF.

Kama ni kweli hivyo ndivyo itakavyokuwa kesho, then Chadema wataongoza serikali kivuli kipofu maana haitakuwa na macho ya kuangalia ndani ya serikali baada ya kupoteza hizi over sight committies.

Habari hizi ni kwa mujibu wa corridors za Bungeni Dodoma.
 
Hivyo ndio Rostam alivyoiweka selikali mfukon!Mungu pekee atakaye isambalatisha ccm kwa kutumia mitume wake chadema.FREEDOM IS COMING TOMOROW!
 
Sasa CHADEMA wana maana gani kuendesha kambi ya upinzani kipofu.....better waachie wanaotaka rasmi waiendeshe wao maana kwa hali ilivyo ni vigumu kuniambia kutakuwa na ushirikiano kati ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na viongozi wa kamati hizi ambao watakuwa wamejaa jeuri kwa kuteuliwa kwako kutokea kwenye mgongo wa wabunge wengi wa CCM

Better achiwe Hamad na Kafulila waongoze kambi ya upinzani maana huu ni upuuzi kuwa kiongozi wa upinzani huku kamati muhimu za kuisimamia serikali zikiwa virtually chini ya CCM. Utaisimamiaje serikali ambayo huoni inafanya nini kwa kunyang'anywa macho?
 
Mbowe bado atabaki ndiye waziri mkuu kivuli na atateua baraza la mawaziri vivuli.
 
Chadema waachane na hicho kinachoitwa kambi ya rasmi ya upinzani.badala yake wapange hoja nzito kwa maslahi ya wananchi waliowachagua.
 
Sasa CHADEMA wana maana gani kuendesha kambi ya upinzani kipofu.....better waachie wanaotaka rasmi waiendeshe wao maana kwa hali ilivyo ni vigumu kuniambia kutakuwa na ushirikiano kati ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na viongozi wa kamati hizi ambao watakuwa wamejaa jeuri kwa kuteuliwa kwako kutokea kwenye mgongo wa wabunge wengi wa CCM

Better achiwe Hamad na Kafulila waongoze kambi ya upinzani maana huu ni upuuzi kuwa kiongozi wa upinzani huku kamati muhimu za kuisimamia serikali zikiwa virtually chini ya CCM. Utaisimamiaje serikali ambayo huoni inafanya nini kwa kunyang'anywa macho?

Tatizo ni fedha na marupurupu ya Kiongozi wa Upinzani Bungeni, ni vigumu sana kwa Mbowe kuviachia!!
 
...Kwa ajuaye, hivi hizo kamati tatu ndio zinazoainisha upinzani bungeni au ni maeneo ya ulaji tu?
 
Sasa CHADEMA wana maana gani kuendesha kambi ya upinzani kipofu.....better waachie wanaotaka rasmi waiendeshe wao maana kwa hali ilivyo ni vigumu kuniambia kutakuwa na ushirikiano kati ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na viongozi wa kamati hizi ambao watakuwa wamejaa jeuri kwa kuteuliwa kwako kutokea kwenye mgongo wa wabunge wengi wa CCM

Better achiwe Hamad na Kafulila waongoze kambi ya upinzani maana huu ni upuuzi kuwa kiongozi wa upinzani huku kamati muhimu za kuisimamia serikali zikiwa virtually chini ya CCM. Utaisimamiaje serikali ambayo huoni inafanya nini kwa kunyang'anywa macho?

Kwa mtindo huu haina haja hata ya kufanya siasa.
 
Mimi sikubaliani na ushauri wa chadema kuachia kambi rasmi ya upinzani kwani hiyo pesa itawasaidia kujiimarisha kwa ajili ya 2015. Wakiachia ina maana ziende tena Pemba (CUF), haiwezekani hiyo ni kodi yetu Watanganyika.
 
Kesho ndio siku ya uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge baada ya leo kutangazwa majina ya wajumbe wa kamati hizo.

Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani waongoze kamati zipi. Hivyo CCM wameamua kuionyesha Chadema kuwa si lolote si chochote kwa kuhakikisha hawachaguliwi kuongoza kamati yoyote!.

Hivyo wameamua uenyekiti wa PAC kumpigia kura John Memosa Cheyo wa UDP, LAC watampigia Agostino Lyatonga Mrema wa TLP na POC itakwenda kwa mwanamama wa CUF.

Kama ni kweli hivyo ndivyo itakavyokuwa kesho, then Chadema wataongoza serikali kivuli kipofu maana haitakuwa na macho ya kuangalia ndani ya serikali baada ya kupoteza hizi over sight committies.

Habari hizi ni kwa mujibu wa corridors za Bungeni Dodoma.

Kama tetesi hizi zitakuwa ndio ukweli wenyewe (uhalisia wa mambo) basi hii ndio changamoto ya uongozi itakayo wakuta hao cdm, hivyo wanatakiwa watafute ufumbuzi wa nini watakachofanya katika hilo, hiyo ndio kazi ya kuongoza si lelemama. Nitawashangaa hawa chadema kama hawaku anticipate kuwa ccm watatumia uwingi wao kuwavurugia mipango yao. Wanatakiwa wajue ni jinsi gani ya kuyapatia ufumbuzi mambo kama hayo, siwategemei kabisa kuanza kulalama tu. Lazima wajue kuwa baadhi ya misimamo yao itakuwa na gharama zake, hii ni moja ya gharama ambayo dawa haitakuwa kulalamika ila nikuitafutia dawa. Dawa ya kwanza kwa kuwasaidia ni kuwashitaka hawa kwa wananchi, yaani kuwaeleza wananchi na hasa wenye ulelewa wa haya kwa hali ya chini kabisa ni vipi maamuzi kama haya yanavyo wazuru katika ustawi wa maisha yao.
 
Kesho ndio siku ya uchaguzi wa wenyeviti wa kamati za kudumu za bunge baada ya leo kutangazwa majina ya wajumbe wa kamati hizo.

Chama kilichoshika mpini Bingeni ndio determinant za nani waongoze kamati zipi. Hivyo CCM wameamua kuionyesha Chadema kuwa si lolote si chochote kwa kuhakikisha hawachaguliwi kuongoza kamati yoyote!.

Hivyo wameamua uenyekiti wa PAC kumpigia kura John Memosa Cheyo wa UDP, LAC watampigia Agostino Lyatonga Mrema wa TLP na POC itakwenda kwa mwanamama wa CUF.

Kama ni kweli hivyo ndivyo itakavyokuwa kesho, then Chadema wataongoza serikali kivuli kipofu maana haitakuwa na macho ya kuangalia ndani ya serikali baada ya kupoteza hizi over sight committies.

Habari hizi ni kwa mujibu wa corridors za Bungeni Dodoma.
Hizo ni kamati but still KUB na kaimu wake na baraza lote ni CDM, wenyeviti watakaochaguliwa wata-riport kwa KUB na watafanyakazi kwa maelekezo ya KUB wakifanya madudu KUB anawawajibisha CCM wanachagua wengine na mchezo unaendelea kama alivyowajibishwa Cheyo.
 
Kwa mtindo huu haina haja hata ya kufanya siasa.
Mkuu,

Hivi sisi watanzania tunajifanya taahira kweli!
Ni nani asiyejua kuwa bado Tanzania inaongozwa kwa misingi ya chama kimoja kama Taifa..nani halijui hili?

Vyama vilivyopo ni vyama vya kuisindikiza CCM. Ndio maana ni muhimu vyama hivi CDM, CUF, NCCR,TLP, UDP vishirikiane viweze kuubadilisha huu mfumo kutoka Chama kimoja kwenda mfumo wa vyama vingi.(Katiba mpya)

sasa hivi watu wanafanya maslahi tu, kuganga njaa...ni wachache sana ambao wako kwa kuwatumikia walalahoi, wananchi wa kawaida.
kumbuka siasa TZ ni short cut ya kukimbia makali ya njaa!!kwa kisingizio cha kuwatumikia wananchi.
Marando anataka kuwatumikia wananchi? Mbowe anataka kuwatumikia wananchi? Mrema huyu wa leo anataka kuwatumikia wananchi? Hamad rashid anataka kuwatumika wananchi? Mzee mapesa anataka kuwajaza watu mapesa?...wote hawa wanataka wapate fungu katika kodi zetu...TZ bado hatujaweka mfumo kwa viongozi tunaowachagua kuwajibika kwa wananchi...ni wachumia tumbo na kujaza mifuko yao tu.

kama una mifano ya wasio waganga njaa.. au wabinafsi weka orodha yao hapa!!
Pengine "beautiful ones are not yet born!!!"
 
Mkuu,

Hivi sisi watanzania tunajifanya taahira kweli!
Ni nani asiyejua kuwa bado Tanzania inaongozwa kwa misingi ya chama kimoja kama Taifa..nani halijui hili?

Vyama vilivyopo ni vyama vya kuisindikiza CCM. Ndio maana ni muhimu vyama hivi CDM, CUF, NCCR,TLP, UDP vishirikiane viweze kuubadilisha huu mfumo kutoka Chama kimoja kwenda mfumo wa vyama vingi.(Katiba mpya)

sasa hivi watu wanafanya maslahi tu, kuganga njaa...ni wachache sana ambao wako kwa kuwatumikia walalahoi, wananchi wa kawaida.
kumbuka siasa TZ ni short cut ya kukimbia makali ya njaa!!kwa kisingizio cha kuwatumikia wananchi.
Marando anataka kuwatumikia wananchi? Mbowe anataka kuwatumikia wananchi? Mrema huyu wa leo anataka kuwatumikia wananchi? Hamad rashid anataka kuwatumika wananchi? Mzee mapesa anataka kuwajaza watu mapesa?...wote hawa wanataka wapate fungu katika kodi zetu...TZ bado hatujaweka mfumo kwa viongozi tunaowachagua kuwajibika kwa wananchi...ni wachumia tumbo na kujaza mifuko yao tu.

kama una mifano ya wasio waganga njaa.. au wabinafsi weka orodha yao hapa!!
Pengine "beautiful ones are not yet born!!!"

mkinga alisema,nyerere akisema anachukia rushwa mwili mzima unaoneka kwamba anachukia rushwa,mikono yake,macho yake,na hata safu ya mawaziri wake wanalioneka.linganisha na juzi kikwete alivyokua akijitetea juu ya dowans,machon pake na mikono yake utajua huyu mzee anahusika.kama angetamka mimi kama rahsi dowans haitalipwa bas kidogo ningemkubali.narudi kwa sitta na mwanyembe wakisema wanapinga dowans kweli macho yao na miko yao inadhirisha,ila mlete makamba,rostam,ngeleja,makinda na wengine wanaonekana hata kwa utendaji kazi.rudi kwa slaa,mbowe,lema,lisu,mdee,mnyika wanaonekana kwa matendo yao hata kwa matamsh yao.nafikiri mkuu sinasababu ya kuzama ili umelewa nin namaanisha
 
Mimi sikubaliani na ushauri wa chadema kuachia kambi rasmi ya upinzani kwani hiyo pesa itawasaidia kujiimarisha kwa ajili ya 2015. Wakiachia ina maana ziende tena Pemba (CUF), haiwezekani hiyo ni kodi yetu Watanganyika.
Mkuu,
kama hizi hela zilienda Pemba basi zilifanya kazi yake, nimesikia majimbo yote Pemba yalichukuliwa na CUF au?
Pia last time I checked Pemba ilikuwa ni Tanzania au imekuwa sehemu ya Kenya sasa?
Pia ninavyojua ni kuwa TRA inafanya kazi Zanzibar pia...TRA wanakusanya nini? mawe?

hata mimi sikubaliani kuwa CDM isusie kambi ya upinzani ila ningefurahi kama itawashirikisha wa vyama vyengine pia.
 
mkinga alisema,nyerere akisema anachukia rushwa mwili mzima unaoneka kwamba anachukia rushwa,mikono yake,macho yake,na hata safu ya mawaziri wake wanalioneka.linganisha na juzi kikwete alivyokua akijitetea juu ya dowans,machon pake na mikono yake utajua huyu mzee anahusika.kama angetamka mimi kama rahsi dowans haitalipwa bas kidogo ningemkubali.narudi kwa sitta na mwanyembe wakisema wanapinga dowans kweli macho yao na miko yao inadhirisha,ila mlete makamba,rostam,ngeleja,makinda na wengine wanaonekana hata kwa utendaji kazi.rudi kwa slaa,mbowe,lema,lisu,mdee,mnyika wanaonekana kwa matendo yao hata kwa matamsh yao.nafikiri mkuu sinasababu ya kuzama ili umelewa nin namaanisha

Mkuu,
nimezungumzia kuwatumikia wananchi,kuganga njaa na ubinafsi..wewe umekuja na habari ya rushwa...ndio tutaelewana hapa?
 
Nadhani umefika muda wakuondoka Jf, maana naweza kufa kabla ya wakati....

Max na Invisible, pls naombeni mnipe Ban ya week 1..
 
Back
Top Bottom