Kwa mtazamo wangu ni kuwa wanakamati walishindwa kutafuta the right question. Nina hakika hata huyo mkaguzi mkuu akienda kukagua vitabu hatakuta kosa lolote. Kwa nini? Kwa sababu kwenye bajeti ya BOT, kuna line item inayohusu hizo nyumba kwa cost ya 1.2b, na matumizi yake nayo yamepitia hatua sahihi za PPPR. Swali la msingi, je ni sawa kuweka bajeti ya kiwango hicho kwa ujenzi wa nyumba za/ya mtu mmoja?
"Bila shaka jibu ni ndio, kwavile yote hayo yalipita kwakufuwata kanuni na sheria za manunuz yaserikali, pili kitu kiliwakuna wabunge ni pale alipo sema Hii nyumba sio yangu ila ni ya BOT, so even nikiondoka gavana mwingine atakaa,pia ile valuation ya faida yaujenz au kuendelea kupanga ilionyesha bora kujenga so prof Amekuwa ktk watu wenye uchungu na pesa ya walipa kodi.