Kamati ya Bunge ya mambo ya nje,ulinzi na usalama imeanza ziara ya siku 14 katika balozi za tanzania kwenye nchi za marekani, ulaya na asia kukagua namna zinavyotekeleza mambo ya sera na uchumi. Ziara ya kamati iyo inayoongozwa na mbunge wa Monduli ilitangazwa jana katika uwanja wa ndege wakati wajumbe 20 wa kamati hiyo na makatibu 6 walipokuwa wanaondoka nchini. Hata hivyo, wakati kamati hiyo ikienda kutembelea balozi hizo, waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa, Benard Membe mwenye dhamana na balozi hizo, alisema ziara hiyo haikuja wakati sahihi, kwa kuwa mkutano wa bunge la bajeti unaendelea. Lakini Lowasa alisema ziara iyo imekuja wakati sahihi kwa kuwa hiyo pia ni kazi ya Bunge.
Katika ziara hiyo, kamati imegawanyika ktk makundi 6 yatakayotembelea balozi 14 ktk nchi 14.
Wabunge hao ni yeye Edward Lowasa, Vita Kawawa, Khalifa Suleiman Khalifa, Rachel Mashishanga na Beatrice Shelukindo ambao watatembelea balozi za Canada, Washington na New York, na London.
Wengine ni Mohamed Ibrahim Sanya, Mchungaji Israel Natse ambao watatembelea New Delhi na Kuala Lumpur.
Wengine ni Musa Zungu, Hasan Ngwilizi, Bety Machagu na Musa Hasan Musa watakaotembelea Japan na China.
Kundi jingine litakalokuwa Ujerumani na Sweden linawahusisha Ana Abdalah, John Shibuda na Agustino Masele.
Wengine akiwamo Mohamed Seif Khatib, Hilda Ngoye na Anastazia Wambura watatembelea balozi za Brussels, Ubelgiji na Geneva.
Kundi la mwisho linalotembelea Paris na Rome linawahusisha John Chiligati, Eugen Mwaiposa na Masoud Abdalah Salim.
Ziara hiyo imeonyesha kumshangaza Waziri Membe akisema hajui wanakwenda kufanya nini huko.
SOURCE:MWANANCHI JUMATANO JUNI 27
My take
Kama lengo ni kuangalia utendaji mbona inakuwa Ulaya, Marekani, Canada na Asia peke yake wakati balozi zetu zipo hata huku Africa?? Why now wakati bunge linaendelea wakati wabunge wanatakiwa kuwa bungeni kufatilia bajeti?? Wadau kwa mwendo huu tutakata matumizi yasiyo na tija kwa taifa? Hata uganda kuna balozi, kenya, rwanda! Why Us Europe Asia?
Katika ziara hiyo, kamati imegawanyika ktk makundi 6 yatakayotembelea balozi 14 ktk nchi 14.
Wabunge hao ni yeye Edward Lowasa, Vita Kawawa, Khalifa Suleiman Khalifa, Rachel Mashishanga na Beatrice Shelukindo ambao watatembelea balozi za Canada, Washington na New York, na London.
Wengine ni Mohamed Ibrahim Sanya, Mchungaji Israel Natse ambao watatembelea New Delhi na Kuala Lumpur.
Wengine ni Musa Zungu, Hasan Ngwilizi, Bety Machagu na Musa Hasan Musa watakaotembelea Japan na China.
Kundi jingine litakalokuwa Ujerumani na Sweden linawahusisha Ana Abdalah, John Shibuda na Agustino Masele.
Wengine akiwamo Mohamed Seif Khatib, Hilda Ngoye na Anastazia Wambura watatembelea balozi za Brussels, Ubelgiji na Geneva.
Kundi la mwisho linalotembelea Paris na Rome linawahusisha John Chiligati, Eugen Mwaiposa na Masoud Abdalah Salim.
Ziara hiyo imeonyesha kumshangaza Waziri Membe akisema hajui wanakwenda kufanya nini huko.
SOURCE:MWANANCHI JUMATANO JUNI 27
My take
Kama lengo ni kuangalia utendaji mbona inakuwa Ulaya, Marekani, Canada na Asia peke yake wakati balozi zetu zipo hata huku Africa?? Why now wakati bunge linaendelea wakati wabunge wanatakiwa kuwa bungeni kufatilia bajeti?? Wadau kwa mwendo huu tutakata matumizi yasiyo na tija kwa taifa? Hata uganda kuna balozi, kenya, rwanda! Why Us Europe Asia?