Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Dr. Bilal atatulizwa na kuwa makamu bara... sitoshangaaa
Halisi,
I don't see any problem; we need performers, those who achieved a certain degree of development for their people; siwezi kumpigia kura Dr. Kikwete, kwa kuwa najua kabisa ameachive zero in his performance. Tuwangalie candidates kwenye picha kubwa. Wanaomjua huyu mtu watupe habari zake that is all
Mkuu na wewe umejuaje sijalipia kadi? ni kweli nilikuwa na kadi feki, wakati ule ili kuingia chuo lazima uwe na kadi ya kijani na chuo kilikuwa kimoja tu kama dawa lakini siku nilipoionyesha pale chuo utawala nilipoteremka chini nikaiweka kwenye dust bin.Mkuu umejuaje? mbona ni kweli ndivyo itakavyokuwa, yaelekea wewe ni wale CCM wasiolipia kadi ambao wao wanawaita "waliolala" lakini utabiri huu umekosea kidogo sana kwani umesahau kuwa Dr Sheni kalazimishwa na mafisadi kuomba nafasi hiyo kwa malengo yao ya 2015 na liwalo na liwe watampiga tafu kwa njia zozote mpaka ashinde na kwa kishindo kikubwa
According to the tetesi nilizozipata asubuhi hii ni kuwa Dk Bilal na wafuasi wake wamechimba mkwala!!!
Mkuu na wewe umejuaje sijalipia kadi? ni kweli nilikuwa na kadi feki, wakati ule ili kuingia chuo lazima uwe na kadi ya kijani na chuo kilikuwa kimoja tu kama dawa lakini siku nilipoionyesha pale chuo utawala nilipoteremka chini nikaiweka kwenye dust bin.
Kuhusu Dr. Sheni ni kweli katolewa Bara kiutu uzima ili awapishe wenye nchi waliona si vizuri kumuacha mzee wa watu ana hang hang tu kwa sababu ana siri zao nyingi, walikompeleka atapita lakini vile vile tugemee mawimbi kidogo ila yatatulia si unajua tena cheo sabuni ya roho watatulizwa mmoja baada ya mwingine watakaosalia wataanzishiwa mkoa mwingine na wizara mpya ili wote watoshe.
Du! hawa viongozi wa CCM na CV zao, yaani unaweza kuweka hizo qualifications hapo juu hadharani tena kwa ajili ya nafasi ya kugombea uraisi??? Hivyo vyuo unafanya mitihani bila hata invigilation wala any supervision navyo it matters? Kweli ndiyo maana akina Mkulo wanajiita Madokta, this is ridiculous!!!!!Bilali amepata wakati mgumu sana, na ingekuwa Kamati maalumu ni waamuzi basi leo Bilal angekatwa jina. Mohamed Aboud kaundiwa zengwe la shule ya Sekondari aliyosoma kabla ya kwenda Kibasila, kwamba kadanganya na kwamba ameambiwa mwaka aliotaja shule hiyo haikuwa na sekondari hadi kamati maalum ikamuita Katibu Mkuu wa Elimu ambaye amekiri udhahifu huo. Kambi ya Aboud imeamua kupambana na kuwasilisha ushahidi wote kwenye KAMATI KUU.
EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level
Cambridge International College - UK
Diploma in Business Management & Admin.
2001
2003
DIPLOMA
Cambridge International College - UK
Diploma in Business economic & Commerce
2001
2003
DIPLOMA
Montaigne School of English - UK
Certificate
2000
2000
CERTIFICATE
Luteni & MKJJ, huo ndiyo muelekeo wanaopanga ili kila mtu aridhike. Bilal-Makamu Muungano; Shein-Rais ZNZ. Kivumbi ni kumfanya Bilal aridhie haya.