Elections 2010 Kamati Maalumu ya NEC ya CCM Zanzibar imeanza kikao kupitisha wagombea Urais

Halisi

JF-Expert Member
Jan 16, 2007
2,802
613
Kamati Maalumu ya NEC ya CCM imeanza kikao chake muda mchache uliopita hapa Zanzibar, Kisiwandui. Kikao hicho kitachagua wana CCM watano kwenda Kamati Kuu na baadaye NEC.

Majina yanayotajwa kupita ni pamoja na Dk. Ali Mohamed Shein, Dk. Mohamed Bilal, Haroun Suleiman, Alli Juma Shamhuna na Shamsi Vuai Nahodha. Mwingine anayepewa nafasi ni Mohamed Aboud, ambaye hata hivyo kuna utata katika elimu yake.

Uwezekano mkubwa ni kuwa kuna kila dalili za Dk. Shein kubaki kuwa mgombea urais wa Zanzibar kutokana na kuwa na nguvu kubwa ndani ya serikali na CCM. Tatizo kuna hofu kubwa hapa Zanzibar ya JK kutotabirika, maana "anaweza kubadilika"
 
GENERAL

Salutation: Honourable

First Name: Mohamed
Middle Name: Aboud
Last Name: Mohamed

Member Type: Nominated by the President
Constituent: No Constituency
Political Party: CHAMA CHA MAPINDUZI
Office Location: P.O.Box 3870, Zanzibar
Office Phone: +255 777 411667
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: maboud@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Start Date: 28 December 2005
End Date: 27 December 2010
Date of Birth: 19 January 1960

EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level

Cambridge International College - UK
Diploma in Business Management & Admin.
2001
2003
DIPLOMA

Cambridge International College - UK
Diploma in Business economic & Commerce
2001
2003
DIPLOMA

Montaigne School of English - UK
Certificate
2000
2000
CERTIFICATE

ICS
-
1997
1998
CERTIFICATE

Kibasila Secondary School
O-Level Education
1976
1977
SECONDARY

Michakaeni Secondary School
Secondary Education
1973
1975
SECONDARY

Michakaeni Primary School,Pemba
Primary Education
1966
1972
PRIMARY

ST.Clement University -West Indies
Public Administration
2008
2008
MASTERS DEGREE

CERTIFICATIONS
Certification Name or Type
Certification No.
Issued
Expires
No items on list

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From Date
To Date

Ministry of East Africa Co-operation
Deputy Minister
2008
To Date

Ministry of Public Safety and Security
Deputy Minister
2006
2008

Revolutionary Government of Zanzibar
Minister(Ministry of Agriculture)
2004
2005

Revolutionary Government of Zanzibar
Minister(Ministry of Trade)
2000
2004

Private Businesses
Businessman
1997
2000

Bank of Zanzibar

Board Member
1996
1999

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location
Position
From
To

Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of Parliament
2005
To Date

Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of Parliament
2000
2005

Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of House Representative
2000
2005

Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of National Executive Council
1997
To Date

PUBLICATIONS
Description
Published Date
No items on list

SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description
Years Experience
Acquired Through
Skill Level
No items on list

RECOGNITIONS

Recognition Type
Recognition Date
Reason
Action Taken
Issued by

No items on list
 
Huyu kweli Elimu yake ina utata yeye alipokuwa anasoma anapiga mbili kwa mpigo, hebu angalia Diploma mbili kwa mpigo na

Cambridge International College - UK
Diploma in Business Management & Admin.2001-2003DIPLOMA

Cambridge International College - UK
Diploma in Business economic & Commerce2001-2003DIPLOMA

Halafu baada ya Diploma ni Masters? Hii na yenyewe ni utata mwingine au ni masters ya internet? Kunahitajika mdahalo.
 
According to the tetesi nilizozipata asubuhi hii ni kuwa Dk Bilal na wafuasi wake wamechimba mkwala!!!
 
kwani Karume vp ktk elimu? ccm hawajali elimu,bali wanachoangalia ni nani atafata matakwa yao.. kwa kweli mm sijaona mgombea hata mmoja anaeweza kushindana na Maalim bali wataendelea kuiba tu.. lkn pamoja na yote,nilijaribu kufatilia mahojiano ya wagombea wote wa ccm na waandishi habari,pamoja na kuwa siwakubali woote,lkn Nahodha ameongea maneno ambayo yanawagusa waznz,waznz wanahitaji mtu atakaeweza kutenda maneno aliyoongea Nahodha,nilifurahi nilivosikia maneno yake mazuri kwa waznz,lkn kawaida ya ccm wanaweza kuongea maneno matamu lkn moyoni,ana jengine anapanga.. lkn wagombea wengine kama kina shamhuna na wengine woote wameongea utumbo kabisa,hebu Mkuu HALISI tutafutie speech ya Nahodha wakati alipochukua utuwekee hapa..
 
According to CCM Arithmetics, it is very simple and always has been the same. Majina ya Dr. Bilal na Dr. Sheni yatapitishwa, Kamati Kuu CC itamwomba Dr. Bilal ajitoe ampishe Dr. Sheni kwa heshima kabla ya majina kupelekwa NEC, najua Bilal atakataa ombi hilo atadai majina yote yapelekwe NEC na kura zipigwe, nina uhakika wa 90% Dr. Bilal atapata kura za kutosha lakini NEC itapitisha jina la Dr. Sheni, mwisho kambi ya Dr. Bilal itasusia uchaguzi. Alternative kwa vile mzee wetu Sheni huwa hataki makuu atakubali yaishe.
 
According to CCM Arithmetics, it is very simple and always has been the same. Majina ya Dr. Bilal na Dr. Sheni yatapitishwa, Kamati Kuu CC itamwomba Dr. Bilal ajitoe ampishe Dr. Sheni kwa heshima kabla ya majina kupelekwa NEC, najua Bilal atakataa ombi hilo atadai majina yote yapelekwe NEC na kura zipigwe, nina uhakika wa 90% Dr. Bilal atapata kura za kutosha lakini NEC itapitisha jina la Dr. Sheni, mwisho kambi ya Dr. Bilal itasusia uchaguzi. Alternative kwa vile mzee wetu Sheni huwa hataki makuu atakubali yaishe.

..Du...!..Huu utabiri umenifurahisha sana!...Tuna muda mfupi wa kuhakiki huu urozi!
 
Yule aliye tayari kushika jahazi la Zenji ndiye atakayepewa kijiti, hilo halina shaka na CCM iko madhubuti!
 
..Du...!..Huu utabiri umenifurahisha sana!...Tuna muda mfupi wa kuhakiki huu urozi!
PJ

Ndivyo itakavyokuwa nimeishi na CCM miaka mingi sana ingawa sina uwezo wakuwabadili lakini nawajua, kuna urozi niliutoa wa Ccj nikauita sinema steringi Tendwa nikasema mwisho Ccj watakuja kusema unaona wasingenishika shati ningemgaragaza watu hawakuamini, na ndivyo ilivyokuwa.
 
Hapa ndipo tunapom-miss Field Marshal ES! Mzee FMES vipi tena mkuu unapotea kipindi ambacho ndio Taifa linakuhitaji zaidi?
 
According to CCM Arithmetics, it is very simple and always has been the same. Majina ya Dr. Bilal na Dr. Sheni yatapitishwa, Kamati Kuu CC itamwomba Dr. Bilal ajitoe ampishe Dr. Sheni kwa heshima kabla ya majina kupelekwa NEC, najua Bilal atakataa ombi hilo atadai majina yote yapelekwe NEC na kura zipigwe, nina uhakika wa 90% Dr. Bilal atapata kura za kutosha lakini NEC itapitisha jina la Dr. Sheni, mwisho kambi ya Dr. Bilal itasusia uchaguzi. Alternative kwa vile mzee wetu Sheni huwa hataki makuu atakubali yaishe.

Mkuu umejuaje? mbona ni kweli ndivyo itakavyokuwa, yaelekea wewe ni wale CCM wasiolipia kadi ambao wao wanawaita "waliolala" lakini utabiri huu umekosea kidogo sana kwani umesahau kuwa Dr Sheni kalazimishwa na mafisadi kuomba nafasi hiyo kwa malengo yao ya 2015 na liwalo na liwe watampiga tafu kwa njia zozote mpaka ashinde na kwa kishindo kikubwa
 
Bado wako ndani. Alianza kuhojiwa Dk. Bilal, ambaye amehojiwa maswali makali makali ikiwa ni pamoja na kuulizwa kwanini hataki maridhiano na kwanini anaendeleza makundi na uhasama. Wakafuata wengine na Shein akawa wa pili kutoka mwisho kabla ya kumalizia Haroun Suleiman (Waziri wa ELimu).... Kwa hali ilivyo mambo ni magumu sana kwa Bilal maana tofauti na miaka ya nyuma hana nguvu CCM Zanzibar (Viongozi, ambao kwa hatua hii ndio wenye kura). Anategemea kidogo bara ambako nako kuna utata kama atapita Kamati Kuu, maana mpasuko wa CCM ndipo unapoanzia hapa. Kundi la Karume kwa sasa linamtaka Shein kwa nguvu zote na JK anatajwa kuwa nyuma yao kwa msingi wa maridhiano na mshikamano ambao unaanzia ndani ya CCM, Zanzibar na bara na kuendelea hadi CCM na CUF Zanzibar. Kwa hali ilivyo Shein anaonekana kuwa chaguo la katikati baada ya Bilal kucheza karata yake vibaya dakika za mwisho kwa kuonyesha kwamba anapinga maridhiano kati ya CCM na CUF na kuendeleza siasa za "Mapinduzi Daima" kwa kufanya hivyo anawapa nguvu watu kama Mohamed Aboud ambaye tunamuona hapa anakwazwa na kutokuwa mwaminifu katika kuwasilisha nyaraka zake za elimu. Dk. Shein kutokana na kuwa mtu wa kati kati na ambaye waatu wa bara wanaona anawazibia, ataungwa mkono apite Zanzibar na kuwa mgombea wa CCM. Kazi itakuwa katika kumuuza kwenye kampeni dhidi ya Seif wa CUF.

Kuna tatizo kubwa la kampeni. Wenyewe CCM wanasema wanao uwezo wa kumuuza mgombea watakayempitisha.

Wana JF tatizo la Zanzibar ambalo limekuwa halisemwi si la CCM na CUF ni la waliopinduliwa na waliopindua. Kuna tatizo la watu weupe na watu weusi, ni tatizo la ubaguzi ambalo waliopindua wamerithi ubaguzi kwa kuanza wao kuwabagua Waarabu kiana. Ukizungumza na watu wanaomuunga mkono Mohamed Aboud wanasema ni mtu anayefaa maana ana asili ya Kiarabu na kwamba atafanya kama Obama kuonyesha kwamba hakuna tabaka la watawala na watawaliwa. Wanasema kwa sasa Seif huwa anashinda chaguzi zote kwa sababu asilimia kubwa ya watu wa Unguja na Pemba wamechanganya wakiwamo hao watawala wanaowabagua waliochanganya. Mfano Karume mama yake ana asili ya Kiarabu, Mke wake Shadya naye ana asili ya Arabu, na kadhalika. Kwa hiyo CUF wanahitaji kuwekewa mtu atakayevunja huo ukimya si Shein vinginevyo ni kumuachia Seif aendelee kushinda na aibiwe na kuendeza vidonda visivyokwisha. Hoja hiyo ndio inayompa nguvu Haroun ambaye jina lake linaweza kupita kumsindikiza Shein hadi mwisho kama alivyowekwa Salim Ahmed na MWandosya kumsindikiza JK 2005

Tusubiri tuone. Mchakato ndio kwanza unaendelea na vita ssa ni kati ya Bilal na Shein japo wapo SHamhuna, SHamsi na Haroun.
 
Kaka nipo ila net haikuwa nzuri na kikao kilikua kinaendelea ndani. Tunaweza kuongea kwa simu
 
GENERAL

Salutation: Honourable

First Name: Mohamed
Middle Name: Aboud
Last Name: Mohamed

Member Type: Nominated by the President
Constituent: No Constituency
Political Party: CHAMA CHA MAPINDUZI
Office Location: P.O.Box 3870, Zanzibar
Office Phone: +255 777 411667
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail: maboud@parliament.go.tz
Member Status: Current Member
Start Date: 28 December 2005
End Date: 27 December 2010
Date of Birth: 19 January 1960

EDUCATIONS
School Name/Location
Course/Degree/Award
Start Date
End Date
Level

Cambridge International College - UK
Diploma in Business Management & Admin.
2001
2003
DIPLOMA

Cambridge International College - UK
Diploma in Business economic & Commerce
2001
2003
DIPLOMA

Montaigne School of English - UK
Certificate
2000
2000
CERTIFICATE

ICS
-
1997
1998
CERTIFICATE

[FONT=&quot[COLOR=Red]]Kibasila Secondary School[/FONT]
O-Level Education
1976
1977
SECONDARY

Michakaeni Secondary School
Secondary Education
1973
1975
SECONDARY

Michakaeni Primary School,Pemba
[/COLOR]
Primary Education
1966
1972
PRIMARY

ST.Clement University -West Indies
Public Administration
2008
2008
MASTERS DEGREE

CERTIFICATIONS
Certification Name or Type
Certification No.
Issued
Expires
No items on list

EMPLOYMENT HISTORY
Company Name
Position
From Date
To Date

Ministry of East Africa Co-operation
Deputy Minister
2008
To Date

Ministry of Public Safety and Security
Deputy Minister
2006
2008

Revolutionary Government of Zanzibar
Minister(Ministry of Agriculture)
2004
2005

Revolutionary Government of Zanzibar
Minister(Ministry of Trade)
2000
2004

Private Businesses
Businessman
1997
2000

Bank of Zanzibar

Board Member
1996
1999

POLITICAL EXPERIENCE
Ministry/Political Party/Location
Position
From
To

Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of Parliament
2005
To Date

Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of Parliament
2000
2005

Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of House Representative
2000
2005

Chama Cha Mapinduzi - CCM
Member of National Executive Council
1997
To Date

PUBLICATIONS
Description
Published Date
No items on list

SPECIAL SKILLS
Skill Name or Description
Years Experience
Acquired Through
Skill Level
No items on list

RECOGNITIONS

Recognition Type
Recognition Date
Reason
Action Taken
Issued by

No items on list

Watu wa Mchakaeni na Kibasila watuambie walimfahamuje huyo hapo shuleni. Watu wa Mchakaeni wanasema shule hiyo haikuwa na Sekondari mwaka aliioutaja Aboud, na sasa haina sekondari, ilikuwapo mwaka 1976 halafu ikafungwa mwaka 1981 na sasa wanajiandaa kuirudisha tena. Je, alikosea ama ndivyo ilivyo? Au mwalimu Mkuu kakosea?
 
Watu wa Mchakaeni na Kibasila watuambie walimfahamuje huyo hapo shuleni. Watu wa Mchakaeni wanasema shule hiyo haikuwa na Sekondari mwaka aliioutaja Aboud, na sasa haina sekondari, ilikuwapo mwaka 1976 halafu ikafungwa mwaka 1981 na sasa wanajiandaa kuirudisha tena. Je, alikosea ama ndivyo ilivyo? Au mwalimu Mkuu kakosea?

Halisi,
I don't see any problem; we need performers, those who achieved a certain degree of development for their people; siwezi kumpigia kura Dr. Kikwete, kwa kuwa najua kabisa ameachive zero in his performance. Tuwangalie candidates kwenye picha kubwa. Wanaomjua huyu mtu watupe habari zake that is all
 
Bado wako ndani. Alianza kuhojiwa Dk. Bilal, ambaye amehojiwa maswali makali makali ikiwa ni pamoja na kuulizwa kwanini hataki maridhiano na kwanini anaendeleza makundi na uhasama. Wakafuata wengine na Shein akawa wa pili kutoka mwisho kabla ya kumalizia Haroun Suleiman (Waziri wa ELimu).... Kwa hali ilivyo mambo ni magumu sana kwa Bilal maana tofauti na miaka ya nyuma hana nguvu CCM Zanzibar (Viongozi, ambao kwa hatua hii ndio wenye kura). Anategemea kidogo bara ambako nako kuna utata kama atapita Kamati Kuu, maana mpasuko wa CCM ndipo unapoanzia hapa. Kundi la Karume kwa sasa linamtaka Shein kwa nguvu zote na JK anatajwa kuwa nyuma yao kwa msingi wa maridhiano na mshikamano ambao unaanzia ndani ya CCM, Zanzibar na bara na kuendelea hadi CCM na CUF Zanzibar. Kwa hali ilivyo Shein anaonekana kuwa chaguo la katikati baada ya Bilal kucheza karata yake vibaya dakika za mwisho kwa kuonyesha kwamba anapinga maridhiano kati ya CCM na CUF na kuendeleza siasa za "Mapinduzi Daima" kwa kufanya hivyo anawapa nguvu watu kama Mohamed Aboud ambaye tunamuona hapa anakwazwa na kutokuwa mwaminifu katika kuwasilisha nyaraka zake za elimu. Dk. Shein kutokana na kuwa mtu wa kati kati na ambaye waatu wa bara wanaona anawazibia, ataungwa mkono apite Zanzibar na kuwa mgombea wa CCM. Kazi itakuwa katika kumuuza kwenye kampeni dhidi ya Seif wa CUF.

Kuna tatizo kubwa la kampeni. Wenyewe CCM wanasema wanao uwezo wa kumuuza mgombea watakayempitisha.

Wana JF tatizo la Zanzibar ambalo limekuwa halisemwi si la CCM na CUF ni la waliopinduliwa na waliopindua. Kuna tatizo la watu weupe na watu weusi, ni tatizo la ubaguzi ambalo waliopindua wamerithi ubaguzi kwa kuanza wao kuwabagua Waarabu kiana. Ukizungumza na watu wanaomuunga mkono Mohamed Aboud wanasema ni mtu anayefaa maana ana asili ya Kiarabu na kwamba atafanya kama Obama kuonyesha kwamba hakuna tabaka la watawala na watawaliwa. Wanasema kwa sasa Seif huwa anashinda chaguzi zote kwa sababu asilimia kubwa ya watu wa Unguja na Pemba wamechanganya wakiwamo hao watawala wanaowabagua waliochanganya. Mfano Karume mama yake ana asili ya Kiarabu, Mke wake Shadya naye ana asili ya Arabu, na kadhalika. Kwa hiyo CUF wanahitaji kuwekewa mtu atakayevunja huo ukimya si Shein vinginevyo ni kumuachia Seif aendelee kushinda na aibiwe na kuendeza vidonda visivyokwisha. Hoja hiyo ndio inayompa nguvu Haroun ambaye jina lake linaweza kupita kumsindikiza Shein hadi mwisho kama alivyowekwa Salim Ahmed na MWandosya kumsindikiza JK 2005

Tusubiri tuone. Mchakato ndio kwanza unaendelea na vita ssa ni kati ya Bilal na Shein japo wapo SHamhuna, SHamsi na Haroun.

Detailed explanation, nimefurahi kufahamu shida nyingine ya ubaguzi wa rangi iliyoko visiwani.Mkuu endelea kuleta live-coverage ya hii maneno!
 
Bado wako ndani. Alianza kuhojiwa Dk. Bilal, ambaye amehojiwa maswali makali makali ikiwa ni pamoja na kuulizwa kwanini hataki maridhiano na kwanini anaendeleza makundi na uhasama. Wakafuata wengine na Shein akawa wa pili kutoka mwisho kabla ya kumalizia Haroun Suleiman (Waziri wa ELimu).... Kwa hali ilivyo mambo ni magumu sana kwa Bilal maana tofauti na miaka ya nyuma hana nguvu CCM Zanzibar (Viongozi, ambao kwa hatua hii ndio wenye kura). Anategemea kidogo bara ambako nako kuna utata kama atapita Kamati Kuu, maana mpasuko wa CCM ndipo unapoanzia hapa. Kundi la Karume kwa sasa linamtaka Shein kwa nguvu zote na JK anatajwa kuwa nyuma yao kwa msingi wa maridhiano na mshikamano ambao unaanzia ndani ya CCM, Zanzibar na bara na kuendelea hadi CCM na CUF Zanzibar. Kwa hali ilivyo Shein anaonekana kuwa chaguo la katikati baada ya Bilal kucheza karata yake vibaya dakika za mwisho kwa kuonyesha kwamba anapinga maridhiano kati ya CCM na CUF na kuendeleza siasa za "Mapinduzi Daima" kwa kufanya hivyo anawapa nguvu watu kama Mohamed Aboud ambaye tunamuona hapa anakwazwa na kutokuwa mwaminifu katika kuwasilisha nyaraka zake za elimu. Dk. Shein kutokana na kuwa mtu wa kati kati na ambaye waatu wa bara wanaona anawazibia, ataungwa mkono apite Zanzibar na kuwa mgombea wa CCM. Kazi itakuwa katika kumuuza kwenye kampeni dhidi ya Seif wa CUF.

Kuna tatizo kubwa la kampeni. Wenyewe CCM wanasema wanao uwezo wa kumuuza mgombea watakayempitisha.

Wana JF tatizo la Zanzibar ambalo limekuwa halisemwi si la CCM na CUF ni la waliopinduliwa na waliopindua. Kuna tatizo la watu weupe na watu weusi, ni tatizo la ubaguzi ambalo waliopindua wamerithi ubaguzi kwa kuanza wao kuwabagua Waarabu kiana. Ukizungumza na watu wanaomuunga mkono Mohamed Aboud wanasema ni mtu anayefaa maana ana asili ya Kiarabu na kwamba atafanya kama Obama kuonyesha kwamba hakuna tabaka la watawala na watawaliwa. Wanasema kwa sasa Seif huwa anashinda chaguzi zote kwa sababu asilimia kubwa ya watu wa Unguja na Pemba wamechanganya wakiwamo hao watawala wanaowabagua waliochanganya. Mfano Karume mama yake ana asili ya Kiarabu, Mke wake Shadya naye ana asili ya Arabu, na kadhalika. Kwa hiyo CUF wanahitaji kuwekewa mtu atakayevunja huo ukimya si Shein vinginevyo ni kumuachia Seif aendelee kushinda na aibiwe na kuendeza vidonda visivyokwisha. Hoja hiyo ndio inayompa nguvu Haroun ambaye jina lake linaweza kupita kumsindikiza Shein hadi mwisho kama alivyowekwa Salim Ahmed na MWandosya kumsindikiza JK 2005

Tusubiri tuone. Mchakato ndio kwanza unaendelea na vita ssa ni kati ya Bilal na Shein japo wapo SHamhuna, SHamsi na Haroun.

Halisi hilo sie tunalijua tangu zamani ila asante kwa update sasa naamini kweli zile tetesi nilizosikia kuwa Gharib Bilal wamechimba mkwala ni kweli kwani inaelekea ana kibarua kizito baada ya kucheza karata yake vibaya.
 
Back
Top Bottom