Wa kusoma
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,454
- 2,975
Ndg wana JF, nadhani sasa tunashitukiwa naambiwa na mdao aliyeko kule kule kuwa electronics note taking hairuhusiwi, hii inamaanisha vitu kama laptop, ipad na cm haziruhusiwi kuguswa guswa mle ndani.
Sasa sijui ni kwa kuhofia jf itapata kila ishu au vp, lkn jamaa wakitoka watatupasha yote.
Sasa sijui ni kwa kuhofia jf itapata kila ishu au vp, lkn jamaa wakitoka watatupasha yote.