EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Taarifa kutoka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) zinasema tayari chama hicho kimepanga kumuita Rostam katika mkutano wa Kamati Kuu (CC) uliopangwa kufanyika 30 Julai 2011 kwa lengo la kumwangukia. MwanaHalisi.
Nini kimejiri, amekubali kuhudhuria au kagoma tutaarifiane hapa jamvini.
Nini kimejiri, amekubali kuhudhuria au kagoma tutaarifiane hapa jamvini.