Hivi Kwa sasa, Kuna biashara yenye faida na mzunguko mkubwa kama ya Michezo ya kubahatisha nchini?

Rabbon

JF-Expert Member
Apr 16, 2022
16,375
24,736
Salaam,Shalom!!

Twende haraka kwenye mada, biashara ya Michezo ya kubahatisha Kwa sasa imetapakaa Nchi nzima Hadi vijijini, na sijawahi kushuhudia wahusika wakifunga biashara hizo Kwa kufilisika,

Betting haihitaji gharama kubwa katika uwekezaji, akishanunua mashine na kujenga ofisi hapo hapo anaanza kukamua maziwa 24/7.

Michezo ya Bahati nasibu inapata pesa Kutoka sekta zote, inaingiliana karibu na sekta zote za kiuchumi mfano;

1. BODABODA ( SEKTA YA USAFIRI).

Inakadiriwa nchini, bodaboda za miguu miwili, mitatu za kubeba Abiria na mizigo ni zaidi ya milioni 18, watu Hawa Kwa zaidi ya 75% wanabet, Kila jioni kabla ya kupeleka marejesho Kwa mabosi wao, huwasilisha kwanza rejesho kwenye betting, achukue mikeka kadhaa ndipo Afanye mengine, na mtu mmoja anaweza kuchukua Hadi mikeka 5, na ni jambo la Kila siku. Wako radhi wasipeleke rejesho Kwa tajiri ila betting lazima.

2. SEKTA YA MICHEZO.

Hapa ni UKWELI usiopingika kuwa, washabiki wa Simba na Yanga pekee, ukiwajumlisha, idadi Yao ni kubwa kuliko wanachama wa CCM na CHADEMA.

Watu Hawa Kwa zaidi ya 85% wanabet, yaani, wanabahatisha. Cha kushangaza ni kuwa, wakati wao wakibahatisha, kampuni za betting na Serikali, wao hawabahatishi, Yale ni mapato direct ya HAKIKA kabisa Kila siku. Na wabahatishaji hawajawahi kustukia mchezo huu, ni silent.

3. SIASA NA WANASIASA.

Betting Haina ubaguzi wa Vyama, CCM na CHADEMA wanaunganishwa vizuri kabisa Kwa mahusiano haya ya biashara fake ya kubahatisha vizuri kabisa, na tofauti zao za kisiasa, Huwa zinawekwa kando Ili watumie fursa zao na Uchumi wao katika kubahatisha.

Wanachama wa kawaida Kwa viongozi hubet, na wengine hawaingii Ofisini kuchukua mikeka, wanatumia simu kubeti hata wakiwa katika ofisi za Serikali, betting inaendelea vizuri kabisa.

3. SEKTA YA ELIMU.( MSINGI, SEKONDARI NA VYUO).

Vyuoni, wanafunzi VYUO vikuu, wanatumia boom kubeti, wasichana Kwa wavulana, sekondari Hadi shule za msingi hawaachwi nyuma, wanabet Hadi mitaani Kwa kutumbukiza sarafu Hadi mia na hamsini wapewazo na wazazi wao, Yuko radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kubeti.

4. SEKTA YA UCHUMI NA MABENKI.

Bankers wanabeti, wa mpesa wanabeti, wizara ya Fedha watumishi wanabeti,nk nk

5. SEKTA YA UTALII.

Huko kote, kampuni za kubahatisha inakusanya pesa Kila uchwao. Na hayupo anayestuka.

6. SEKTA YA BIASHARA.

Kuanzia, manufacturer, retailers, Hadi wachuuzi wanabeti, mangi na ubahiri wake, anachukua mkeka Kila siku na hastuki, usisahau Waha, pia nao wanabeti vizuri kabisa. Kampuni za betting, hazichagui, hazibagui.

7. SEKTA YA UVUVI, MADINI,KILIMO, MAWASILIANO, NK NK, NK.

Kampuni za betting zinakusanya pesa huko kote, na Kwa ufupi, hawabagui, hawachagui.

USHAURI: Ikiwa Serikali imeridhika kuwa kampuni hizi za Michezo ya kubahatisha kuwa ni sekta inayotoa ajira na kusababisha mzunguko mkubwa wa Uchumi, wanaonaje wakitoka hadharani na kuzitangaza na kuzipa TUZO sekta hizi machachari Kwa kutengeneza ajira Rasmi na zisizo rasmi?

Karibuni 🙏 Kwa maoni na ushauri kuhusiana na sekta hii Mahiri ya UCHUMI WA KUBAHATISHA.

KARIBUNI 🙏.
 
Wajipe tozo wenyewe mkuu, wajitie mabisu eeh, hilo hawawezi katu.
Wanaogopa kuwaambia wazi vijana kuwa maisha ni HALISI, Si Bahati nasibu,

HOFU Yao kuu, hawana uwezo wa kutengeneza ajira halali.
 
Salaam,Shalom!!

Twende haraka kwenye mada, biashara ya Michezo ya kubahatisha Kwa sasa imetapakaa Nchi nzima Hadi vijijini, na sijawahi kushuhudia wahusika wakifunga biashara hizo Kwa kufilisika,

Betting haihitaji gharama kubwa katika uwekezaji, akishanunua mashine na kujenga ofisi hapo hapo anaanza kukamua maziwa 24/7.

Michezo ya Bahati nasibu inapata pesa Kutoka sekta zote, inaingiliana karibu na sekta zote za kiuchumi mfano;

1. BODABODA ( SEKTA YA USAFIRI).

Inakadiriwa nchini, bodaboda za miguu miwili, mitatu za kubeba Abiria na mizigo ni zaidi ya milioni 18, watu Hawa Kwa zaidi ya 75% wanabet, Kila jioni kabla ya kupeleka marejesho Kwa mabosi wao, huwasilisha kwanza rejesho kwenye betting, achukue mikeka kadhaa ndipo Afanye mengine, na mtu mmoja anaweza kuchukua Hadi mikeka 5, na ni jambo la Kila siku. Wako radhi wasipeleke rejesho Kwa tajiri ila betting lazima.

2. SEKTA YA MICHEZO.

Hapa ni UKWELI usiopingika kuwa, washabiki wa Simba na Yanga pekee, ukiwajumlisha, idadi Yao ni kubwa kuliko wanachama wa CCM na CHADEMA.

Watu Hawa Kwa zaidi ya 85% wanabet, yaani, wanabahatisha. Cha kushangaza ni kuwa, wakati wao wakibahatisha, kampuni za betting na Serikali, wao hawabahatishi, Yale ni mapato direct ya HAKIKA kabisa Kila siku. Na wabahatishaji hawajawahi kustukia mchezo huu, ni silent.

3. SIASA NA WANASIASA.

Betting Haina ubaguzi wa Vyama, CCM na CHADEMA wanaunganishwa vizuri kabisa Kwa mahusiano haya ya biashara fake ya kubahatisha vizuri kabisa, na tofauti zao za kisiasa, Huwa zinawekwa kando Ili watumie fursa zao na Uchumi wao katika kubahatisha.

Wanachama wa kawaida Kwa viongozi hubet, na wengine hawaingii Ofisini kuchukua mikeka, wanatumia simu kubeti hata wakiwa katika ofisi za Serikali, betting inaendelea vizuri kabisa.

3. SEKTA YA ELIMU.( MSINGI, SEKONDARI NA VYUO).

Vyuoni, wanafunzi VYUO vikuu, wanatumia boom kubeti, wasichana Kwa wavulana, sekondari Hadi shule za msingi hawaachwi nyuma, wanabet Hadi mitaani Kwa kutumbukiza sarafu Hadi mia na hamsini wapewazo na wazazi wao, Yuko radhi ashinde njaa lakini apate pesa ya kubeti.

4. SEKTA YA UCHUMI NA MABENKI.

Bankers wanabeti, wa mpesa wanabeti, wizara ya Fedha watumishi wanabeti,nk nk

5. SEKTA YA UTALII.

Huko kote, kampuni za kubahatisha inakusanya pesa Kila uchwao. Na hayupo anayestuka.

6. SEKTA YA BIASHARA.

Kuanzia, manufacturer, retailers, Hadi wachuuzi wanabeti, mangi na ubahiri wake, anachukua mkeka Kila siku na hastuki, usisahau Waha, pia nao wanabeti vizuri kabisa. Kampuni za betting, hazichagui, hazibagui.

7. SEKTA YA UVUVI, MADINI,KILIMO, MAWASILIANO, NK NK, NK.

Kampuni za betting zinakusanya pesa huko kote, na Kwa ufupi, hawabagui, hawachagui.

USHAURI: Ikiwa Serikali imeridhika kuwa kampuni hizi za Michezo ya kubahatisha kuwa ni sekta inayotoa ajira na kusababisha mzunguko mkubwa wa Uchumi, wanaonaje wakitoka hadharani na kuzitangaza na kuzipa TUZO sekta hizi machachari Kwa kutengeneza ajira Rasmi na zisizo rasmi?

Karibuni 🙏 Kwa maoni na ushauri kuhusiana na sekta hii Mahiri ya UCHUMI WA KUBAHATISHA.

KARIBUNI 🙏.
Jiunge UTT mkuu achana na biashara zingine
 
Jiunge UTT mkuu achana na biashara zingine
USHAURI wangu ni Serikali itoe TUZO Kwa kampuni za kubahatisha Kwa kuwasaidia vijana kujua kuwa kumbe wanaweza kuishi Kwa kubeti, na Betting ni ajira kama tu ajira zingine.

Sijui umeelewa?
 
Hata rais wako na wanasiasa pia wanabet, kutenga fungu kwa ajili ya kuwapa wapiga kura ili ushinde uchaguzi napo pia ni kamari.
maana kuna kupata au kukosa, na ukishapata ndo pale unarudisha pesa yako maradufu.

Kwa muktadha huu rushwa haina tofauti na kamari.

Nani wakumfunga paka kengele?
 
Back
Top Bottom