Narubongo
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 2,768
- 2,750
...ndio maana Mkuu ameagiza watumishi wa kiroho wakemee!
...well said!
...Loh, hukuiona hii?
RAIA wanne wa kigeni, Dennis Okechukwu na Paul Obi wote wa Nigeria, Stani Hycenth wa Afrika Kusini na Shoaib Muhammad Ayaz kutoka Pakistan wakitoka kusomewa mashitaka ya kula njama na kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya heroin zenye thamani ya sh. bilioni 2.8, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu mjini Dar es Salaam
Source: Habarileo
Wageni wadaiwa kuingiza Heroin za bilioni 3/-
na hapa; Home
hapa ukiangalia picha na origin zao unaona kabisa hawa jamaa ni matapeli na mtandao wao kupush mzigo kutoka pakistan-tz-south(mzigo unatua), tatizo ni uhamiaji utamruhusu vipi mtu humjui aingie nchini kufungua kanisa private, ingekuwa kiongozi wa katoliki, kkkt,nglican na madhehebu makubwa yanayojulikana tz sawa jk angekuwa na point lkn sio hawa wahuni