mmmh! JK mzima kweli? si angesema kuwa serikali haiko makini katika usajili wa mashirika hapa nchini, sababu inayopelekea kusajili hadi mashirika ya kuuza madawa ya kulevya wakidhani ni mashirika ya Dini???? Jaribu kwenda Brella ushuhudie uzembe uliopo na sio kupewa hotuba na kuongea tuu, washauri wake mwambieni anaaaibika mwenzenu!