Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,206
- 3,031
Kwani alisema wanaohusika hawatachukuliwa hatua? kwamba akimaliza kuhutubia ndio hao wauzaji mihadarati wanakuwa 'wamesamehewa dhambi zao'? Mi sioni hoja hapa.Raisi hatakiwi kulipigia hadithi jambo kama hili, badala yake ilikuwa ni kutoa amri wakamatwe na kuwekwa ndani na mashtaka kufunguliwa. Mpaka yamefika kwake na kuona yanafaa kuyaweka kwenye hotuba ina maana uchunguzi ulikuwa umekamilika na pale alitakiwa awataje jina na angeliarifu maaskofu kuwa nimeagiza wakamatwe na kufikishwa mahakamani. Nchi haiendeshwi kimajungu majungu!