mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
pambaaaaaaaaf sakowote ni wapenda vurugu na waroho wa madaraka
pambaaaaaaaaf sakowote ni wapenda vurugu na waroho wa madaraka
AtwambieKwa lipi?
aah, wote waukwl. ni wanamapinduzi wa kweliKuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha
Wote wana nia na lengo la kumkomboa Mtanzania,wako chama kimoja,tofauti yao ni umri na kabila,
Kuna mwanajf aliwahi kuuliza kati ya Lowassa na Pinda yupi bora? Na mwingine aliuliza kati ya Nyerere, Mwinyi, Mkapa na JK nani ni bora. Mimi leo naona tujadili kati ya DJ Mbowe na Dr Slaa nani zaidi?
Nawasilisha
Hata CCM,CDM,NCCR,DP...vyote vina imani hiyo hiyo,hata kaqtiba ya kenya ni ya kijamaa,hata ya masri zote zikio hivyo hivyo..hiyo ni gia tu!Ukiacha tofauti zao za kimadaraka na kiumri, DJ Mbowe na Dr Slaa wote wanaamini katika kuwezekana kwa kupungua kwa pengo kati ya matajiri na maskini. Wanaamini kuwa inawezekana kwa kila mtz kuishi katika nyumba bora na kupata mahitaji yake ya msingi (ikiwemo elimu) bila kutumia njia za kifisadi.
what a pitty monkey? do you really know the work of an opposition party, for your own good is to keep the government of its toes, therefore Kamanda Wa Anga Freema Mbowe and Dr Slaa are performing their duties. the issue is not power hunger, usiwe kama wazazi wako wa CCM wanao kurupuka kushutumu maandamano hawajui hiyo ni haki ya kila binaadamu kuandamana kama hajaridhika na mambo yanavyoendeshwa. open up your eyes you young minded fellow.They are all the same!....power hungry