Kama una shamba Hekari 1 na lina maji umeme na still unalia shida basi kesho au kesho kutwa au Ijumaa ijayo fanya haya

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,917
Kama una shamba heka.1 na lina.miundo mbinu kama maji na hata umeme na still wewe ni wa kutumwa basi una tatizo kichwani mwako.

How come una shamba lina maji ya uhakika na sio ya kuunga uunga na still uko una implemwnt Idea za watu wengine?

Bado uko unatumwa mata nenda TANESCO mara nenda TRA mara nenda kalipe bili ya maji mara kwa nini leo umechelewa kufika kazini.

Kama uma hilo shamba lina maji ya uhakika na still wewe ni wa kutumwa basi weekend hii jumapili au Jumamosi kesho au Ijumma ijayo nenda kanisani au msikitini kaombe na kumuuliza Mungu inakuwaje uwe hivyo?


Inabidi ukaombewe kwa sababu utakuwa na shida mahali ila wewe hujajua.
 
Mleta mada watake watu radhi...ulichopost ni maneno yenye kukera na kuamsha hasira zilizolala. Wengi walitegemea useme straight kuwa wafanye abc...badala yake unawatusi.
Jiongeozee maana yake unatakiwa kujiari hata kwa kufanya kilimo cha umwagiliaji au kufuga na achana na ishu za utumwa wa kuajiliwa
 
Kama una shamba heka.1 na lina.miundo mbinu kama maji na hata umeme na still wewe ni wa kutumwa basi una tatizo kichwani mwako.

How come una shamba lina maji ya uhakika na sio ya kuunga uunga na still uko una implemwnt Idea za watu wengine?

Bado uko unatumwa mata nenda TANESCO mara nenda TRA mara nenda kalipe bili ya maji mara kwa nini leo umechelewa kufika kazini.

Kama uma hilo shamba lina maji ya uhakika na still wewe ni wa kutumwa basi weekend hii jumapili au Jumamosi kesho au Ijumma ijayo nenda kanisani au msikitini kaombe na kumuuliza Mungu inakuwaje uwe hivyo?


Inabidi ukaombewe kwa sababu utakuwa na shida mahali ila wewe hujajua.
Hahaha! Ww bana
 
hapo umegusa penyewe mkuu napenda maneno serious kama yako siyo kurembesha maneno kila siku fanya hivi na vile
ambao zinachaji kichwani wamekuelewaa
ila subiria kupokea maswali na kejeli maana huwa wapo tu
 
Kama uma hilo shamba lina maji ya uhakika na still wewe ni wa kutumwa basi weekend hii jumapili au Jumamosi kesho au Ijumma ijayo nenda kanisani au msikitini kaombe na kumuuliza Mungu inakuwaje uwe hivyo?
Nimejiona mjinga saaaana sana
 
Hivi huyo mtu mwenye kazi ya kutumwa TANESCO, TRA, Bandarini, atakua na uwezo wa kumiliki shamba heka1 yenye miundo mbinu kweli? Sisemi haiwezekani ila wachache sana.

Kwa uzoefu wangu, kutegemea mshahara pekee kutakusaidia kubadilisha mvoga na kununua vocha lakini kusema ufanye kitu kitu kikubwa kwa mshahara pekee ni kazi sana naogopa kusema haiwezekani.

Nimebahatika kufahamiana na watu walioajiriwa wenye mishahara mikubwa lakini wachache sana wamefanya citu vya maana.

Naomva nihitimishe, kuajiriwa sio dhamvi na wala sio vibaya. Cha msingi, unaifanyia mini hiyo pesa unayoupata?

Kujiajiri au kufanya shughuli zako bimafsi sio kitu rahisi na inataka moyo lakini matunda yake hautatamani tena kuajiriwa, utaona bora hizo changamoto na kutafuta fursa kwa kuwa unafaidi jasho lako na nguvu zako.

Nafikiri ifike mahali tutafute elimu, ujuzi kwa lengo la kufanya mambo yetu na sio kuweka tumaini kubwa kwenye ajira, kwanza ni chache, uwezekano wa kila mtu kyajiriwa ni mdogo.

Mie niongezee, sio tu kuwa na shamba lenye miundo mbinu, kama ni mzima, una afya na akili inayofanya kazi vizuri, unaweza kufanya chochote.
 
Hivi huyo mtu mwenye kazi ya kutumwa TANESCO, TRA, Bandarini, atakua na uwezo wa kumiliki shamva heka1 yenye miundo mbinu kweli? Sisemi haiwezekani ila wachache sana.

Kwa uzoefu wangu, kutegemea mshahara pekee kutakusaidia kubadilisha mvoga na kununua vocha lakini kusema ufanye kitu kitu kikubwa kwa mshahara pekee ni kazi sana naogopa kusema haiwezekani.

Nimebahatika kufahamiana na watu walioajiriwa wenye mishahara mikubwa lakini wachache sana wamefanya citu vya maana.

Naomva nihitimishe, kuajiriwa sio dhamvi na wala sio vibaya. Cha msingi, unaifanyia mini hiyo pesa unayoupata?

Kujiajiri au kufanya shughuli zako bimafsi sio kitu rahisi na inataka moyo lakini matunda yake hautatamani tena kuajiriwa, utaona bora hizo changamoto na kutafuta fursa kwa kuwa unafaidi jasho lako na nguvu zako.

Nafikiri ifike mahali tutafute elimu, ujuzi kwa lengo la kufanya mambo yetu na sio kuweka tumaini kubwa kwenye ajira, kwanza ni chache, uwezekano wa kila mtu kyajiriwa ni mdogo.

Mie ningezee, sio tu kuwa na shamba lenye miundo mbinu, kama ni mzima, una afya na akili inayofanya kazi vizuri, unaweza kufanya chochote.
umeandika "shamva" braza.

Nashndwa kuelewa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom