Ujengelele
JF-Expert Member
- Jan 14, 2008
- 1,253
- 22
....Angesimama na Kikwete kumfanyia kampeni yeye na CCM? Kwanini angemfanyia au kwanini asingemfanyia? Tukumbuke kwamba Mwalimu hakuwa mnafiki au kujikombakomba kwa watu/mtu.
Tujadili
Tujadili
Kikwete, Lowassa, Rostam wangekuwa wanaishi uhamishoni