mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 2,331
- 4,856
Leo hiyi dini mbalimbali zinazungumzia pepo na jehanam au mbinguni na motoni, kama kweli mfumo huo upo basi hata MUNGU ana mawazo ya kibinadamu ambayo yana ukomo kwasababu tunajua MUNGU ni roho na sio mwili ninapozungumzia neno MUNGU namaanisha ni mfumo na sio mtu, ila wengi tunajua MUNGU ni kiumbe kimoja kwahiyo unapaswa ujue MUNGU NI MFUMO wa utawala kama RAISI, MFALME NK.
Sasa basi inakuwaje huu mfumo wa kimungu utumie njia za kibinadam kumuokoa binadamu? Na iweje tena katika maandiko yake yanasema MUNGU kamuumba binadamu kwa kutumia udongo na siku ya mwisho hurudi tena kwenye udongo inakuwaje linakuja suala la binadamu kwenda mbinguni au motoni?
Wakati tunajua mbinguni kuna viumbe ambao wapo maalumu kwa makazi hayo!! MUNGU KAWATUMA MITUME NA MANABII WAJE KUWAKOMBOA BINADAMU, ILI WAENDE MBINGUNI, KAMA KWELI! MUNGU ALISHINDWA VIPI KUTUMIA MFUMO WA KIMUNGU KUMKOMBOA HUYU BINADAMU MFANO, ANGEWEKA TV KUBWA ANGANI, ILI KILA AFANYAYE MABAYA YAONEKANE PALE KWENYE TV NDANI YA MUDA HUO HUO.
Sasa basi inakuwaje huu mfumo wa kimungu utumie njia za kibinadam kumuokoa binadamu? Na iweje tena katika maandiko yake yanasema MUNGU kamuumba binadamu kwa kutumia udongo na siku ya mwisho hurudi tena kwenye udongo inakuwaje linakuja suala la binadamu kwenda mbinguni au motoni?
Wakati tunajua mbinguni kuna viumbe ambao wapo maalumu kwa makazi hayo!! MUNGU KAWATUMA MITUME NA MANABII WAJE KUWAKOMBOA BINADAMU, ILI WAENDE MBINGUNI, KAMA KWELI! MUNGU ALISHINDWA VIPI KUTUMIA MFUMO WA KIMUNGU KUMKOMBOA HUYU BINADAMU MFANO, ANGEWEKA TV KUBWA ANGANI, ILI KILA AFANYAYE MABAYA YAONEKANE PALE KWENYE TV NDANI YA MUDA HUO HUO.