sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,034
Kuna sheria kibao ambazo ziliwekwa na Mwenyezi Mungu mwenyewe moja kwa moja kwenye agano la kale.
Sheria za wanyama wa kula alituamuru tusile nzi, vinyonga, punda, mbwa, paka, pweza, popo, nguruwe, nyani, mbu, n.k.
Sheria za mavazi alituamuru tuvae mavazi ya kusitiri, wanawake wasivae suruali, n.k.
Ila cha ajabu makanisa mengi yanafuata amri 10 tu, ni kwanini nazo zisifutiliwe mbali ?
kuna mistari ya agano jipya inarejea maandiko ya agano la kale
Hata Yesu alisisitiza sana hajaja kufuta sheria zozote, Mission yake kubwa alikuja kuzifuta kafara za wanyama zilizotumika kusafisha dhambi, damu yake ndio itatumika milele kujitakasa hakuna haja ya wanyama
Sheria za wanyama wa kula alituamuru tusile nzi, vinyonga, punda, mbwa, paka, pweza, popo, nguruwe, nyani, mbu, n.k.
Sheria za mavazi alituamuru tuvae mavazi ya kusitiri, wanawake wasivae suruali, n.k.
Ila cha ajabu makanisa mengi yanafuata amri 10 tu, ni kwanini nazo zisifutiliwe mbali ?
kuna mistari ya agano jipya inarejea maandiko ya agano la kale
Hata Yesu alisisitiza sana hajaja kufuta sheria zozote, Mission yake kubwa alikuja kuzifuta kafara za wanyama zilizotumika kusafisha dhambi, damu yake ndio itatumika milele kujitakasa hakuna haja ya wanyama