Kama kweli simu za Mnyika na Lissu ziliingiliwa ni Kosa la Jinai: POLISI

Waongo wakubwa hao, mbona hawajawahi kuwachunguza wale wahuni waliowasumbua kwa kiwango kikubwa watumiaji wa simu za mikononi wakati wa uchaguzi wa 2010?!
 
mkumbusheni kamanda yale ya kinasa sauti kwa Dk. Slaa na kuvamiwa kwa wabunge hukumu yake vp?? Maana uchunguz c umekamilika
 
Mimi si huwa nacomment mala nyingi dogo mwigulu ni zero hamuelewi! Plot gani hiyo? Ni ya mtu mjinga tuu! Flow hovyo!
 
plot ya suala la akina mnyika ni zero, wenzie wanaoplot huwa you cant find a dime of doubt! Here everthng is doubtfull!
 
Jana jioni kupitia TBC, kuna watu watu walikuwa wakionyesha teknolojia jinsi gani unaweza ukawa unareceive sms za mtu aliyechukua au kuiba simu yako, kwamba licha ya kujua mtumiaji wa simu yako alipo, unaweza ukapata meseji anazowatumia watu na watu wanazomtumia yeye. Ingawa sikuwasikia wakisema hili, lakini kwa haraka haraka niligundua kuwa watakuwa wanatumia IMEI ya hardware (simu) ya mtumiaji mmiliki halali. Ingawa jamaa walikuwa kibiashara na kiteknolojia zaidi, mimi nilijiuliza, je, iwapo mtu akakutarget akarecord IMEI yako then akakuuzia simu yake, will the same technology not be used to track your privacy? Naombeni majibu, hasa wale mliofuatilia kipindi cha TBC na wote mjuao teknolojia hizo
 
Mh, mi nasubiri tu baada ya muda tuambiwe kuna mnigeria amekwenda kutubu kuwa ni yeye aliingilia mawasialiano ya mwigulu na mnyika, 'ameumia mno na ameomba toba Mungu na polisi wamsamehe'
 
Ila hii Serikali na watu wake nao hawana akili ingawa na wao wanatuona sisi akili zetu zimelala
Kwa watu Makini kama Kina Mnyika hata kama walitaka kutukana wangefanya mambo ya kijinga kama hayo..
Ni kweli Firstlady1, mwanzoni nilijaribu kumuangalia mtu kama Tundu Lissu, Mbowe, Mnyika nk kama kweli wangeweza kukaa chini na ku-compose sms kama zile, nikajiambia tu moyoni kuwa haiwezekani.
Sasa member mmoja kapost website ambayo unaweza kuingiza hizo namba ndio nikaona huu urahisi, maana nilidhani such websites zilikuwa blocked kumbe zipo bado...nilikuwa nikiiona hiyo feature kwenye website ya the monitor ya Uganda kipindi fulani.

Sasa nakaa na kufikiri kwa mtu kama Nape Nnauye ambaye ni member hapa na ana nafasi kubwa sana katika nchi (Katibu Mwenezi) pamoja na msomi aliyetukukuka kutoka chuo kikuu cha Dar es Salaa Mh. Mwigulu Nchemba (BCom/MBA-Mweka hazina) kama wanawezxa kukaa chini na kupata wazo kama hili itakuwa ni aibu kubwa na tishio kwa nchi ya Tanzania. Kwa maana tunaowategemea kuwa wanaweza kuwasaidia wenzao kufikiri ndio hao hao ambao inabidi wasaidiwe kufikiri!!

 
Kwenye hili huhitaji kuunda tume ya kuchunguza kwani ni suala la kwenda kwenye mitandao ya simu anayoitumia Mnyika na Lissu then print sent sms zote kwa kipindi husika , then nenda mtandao anaotumia Mwigulu then print inbox zote kwa kipindi husika utakuwa umemaliza kazi .


Kwani utakuta kuwa Mwigulu kapokea ila haionekani ilikotumwa kama kuna sent item ya aina hiyo, na nafikiri wameshafanya hivyo ila wanashindwa kutoa majibu hadharani kwani kuna mtu kuumbuka ambaye ni Mwigulu, na nafikiri JJ na Lissu walishaomba kupatiwa sms zao zote kwa kipindi husika na kama wakijaribu kuchakachua wataumbuka muda sio mrefu.

Haiingii akilini eti Mnyika na Lissu ambao wanajua kuwa ukituma sms kwa simu yako inabakia kama ushahidi wafanye hivyo tena kwa kutumia namba zao na Mwigulu alivyo wa ajabu akafikiri CDM wamelala kumbe anakoamkia ndiko wenzake walikolala tangu juzi na jana.Adious ......
 
Kipindi cha uchaguzi ilikuwa kero,sms zenye kashfa kwa wagombea wa upinzani zilikuwa zinatia kichefu chefu, hao waliotenda makosa kama hayo ya jinai namaanisha CCM ( chama cha mabwepande wapi kule waliko mnanihii dokta) wamechukuliwa hatua gani mpaka sasa. Je walipata kwanza idhini ya wenye simu kuwatumia sms kama hizo? Kwa maandishi? tarehe ngapi?
Na kama mtu anaweza kuaccess email hata akounti za benki, kwa nini ishindikane kuingilia mawaliano ya simu ya mtu bila idhini yake. Polisi hatuna imani nao hata kidogo. Ningekua siogopi kupelekwa mabwepande ningewatumia clip ya LUSINDE kwenye kampeni kule Arumeru,waitazameee then nawapa nyingine ya ule mkutano wa CDM iramba baadaye nawahoji uhalali wa Lusinde kutokamatwa mpaka leo ilihali mwingine aliyetenda yale yale kule Iramba tayari kafikishwa mahakamani kwa kosa la kutoa lugha ya matusi na kashfa kwenye mkutano wa hadhara. Watu wakisema hawana imani na polisi hawawaonei jamani.
 
JESHI la Polisi nchini, limesema linaendesha uchunguzi wa madai yaliyotolewa hivi karibuni na Wakili Mwandamizi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mabere Marando, kuwa kuna mtambo wa kunasa mawasiliano ya simu za mikononi umeingizwa nchini kinyemela.

Akizungumza na MTANZANIA mjini Dar es Salaam jana, Msemaji jeshi hilo, Advera Senso, alisema baada ya madai hayo kutolewa wiki iliyopita, jeshi hilo, kupitia Kitengo cha Simu na Ufuatiliaji, limeanza kazi ya kuchunguza ukweli wa mashine hiyo na kama kweli kuna aliyefanya kitendo hicho hatua kali sana zitachukuliwa.

“Taarifa za kuwapo na mtambo wa kuingilia mawasiliano ya simu ya mtu mwingine zimetufikia, tunachunguza kwa ukaribu, tunajua suala hili lilianzia bungeni na sasa lipo ndani ya jamii.

“Kuingilia mawasiliano ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa la jinai, sasa tusianze kuhukumu kitu ambacho hatuna uhakika nacho, tusubiri kazi ya uchunguzi ikamilike,” alisema Senso.

Hata hivyo, alivyotakiwa kueleza ni kwa nini kumekuwapo na uundaji wa kamati nyingi za uchunguzi wa matukio yanayojitokea pasipokuwa na mrejesho wake kwa jamii, Senso alisema matukio ya uchunguzi hufanywa pole pole ili kutoa majibu ya uhakika.

Aliwataka wananchi kuwa na imani ya Jeshi la Polisi, kwani limejipanga kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizowekwa kuliongoza, licha ya kuwapo na kasoro ndogondogo.

Source:Mtanzania


Mnafanya mahojiano na ASP, mnafikiri atakuwa na majibu gani. Huyu kwa Jeshi la Polisi ni mtu mdogo sana hawezi kuwa na lolote. Anapewa mambo haya ayasemee ili upepo upite. Tofautisha hoja za aliyekuwa msemaji wakati huo SACP Mwamunyanyange na huyu ASP utaona tofauti. Hajui hata aongeacho
 
(NEWSER) – Get ready for a massive new wrinkle in texting scams: death threats. Australian authorities are hunting for crooks who are ordering victims via text to "pay up or die." The texts talk of a contract to kill the textee, who can undo the hit by paying $5,000 following instructions via email. "Sum1 paid me to kill you," read the texts. "Get spared. 48 hours to pay $5,000. If you inform police or anybody death is promised. Email me now." Law enforcement agencies across Australia are alerting people to ignore and immediately delete the threats, and not panic, because "that's what they prey upon," said a police spokesman.
What is "extraordinary is the extent of contact across the Australian landscape," he told CNN. "We've never seen this before." This "is not a random event. This is organized crime," he added, noting the complexities of pulling off such a massive operation. "They've done their research. They've acquired their contact lists. They've paid for the distribution of the text messages."




[h=4]
893501-0-20120724002258.jpeg
[/h]
 
JESHI la Polisi nchini, limesema linaendesha uchunguzi wa madai yaliyotolewa hivi karibuni na Wakili Mwandamizi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mabere Marando, kuwa kuna mtambo wa kunasa mawasiliano ya simu za mikononi umeingizwa nchini kinyemela.

Akizungumza na MTANZANIA mjini Dar es Salaam jana, Msemaji jeshi hilo, Advera Senso, alisema baada ya madai hayo kutolewa wiki iliyopita, jeshi hilo, kupitia Kitengo cha Simu na Ufuatiliaji, limeanza kazi ya kuchunguza ukweli wa mashine hiyo na kama kweli kuna aliyefanya kitendo hicho hatua kali sana zitachukuliwa.

“Taarifa za kuwapo na mtambo wa kuingilia mawasiliano ya simu ya mtu mwingine zimetufikia, tunachunguza kwa ukaribu, tunajua suala hili lilianzia bungeni na sasa lipo ndani ya jamii.

“Kuingilia mawasiliano ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa la jinai, sasa tusianze kuhukumu kitu ambacho hatuna uhakika nacho, tusubiri kazi ya uchunguzi ikamilike,” alisema Senso.

Hata hivyo, alivyotakiwa kueleza ni kwa nini kumekuwapo na uundaji wa kamati nyingi za uchunguzi wa matukio yanayojitokea pasipokuwa na mrejesho wake kwa jamii, Senso alisema matukio ya uchunguzi hufanywa pole pole ili kutoa majibu ya uhakika.

Aliwataka wananchi kuwa na imani ya Jeshi la Polisi, kwani limejipanga kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria na taratibu zilizowekwa kuliongoza, licha ya kuwapo na kasoro ndogondogo.

Source:Mtanzania
hapo kwenye red je al-haji kova alikurupuka?
kwenye blue,kwanini mnasema hivo?
 
Nchi hii ina kamati nyingi za uchunguzi ambazo hazina tija kwa taifa.
zina tija sana,wale wanaounda kamati hupata pesa,zile pesa huzitumia kwa ajili ya masuala mbalimbaliikiwemo kuwasomesha watoto wao,so huoni kama zina tija kwa mtanzania?
 
Back
Top Bottom