MAHANJU
Sorry, He would have been in 2005. He would have done a better job. He is not what he was in 2005 and furthermore, I doubt his resolve to root out mega corruption and deal with the whales and sharks. Tunahitaji mfumo mzima uwe overhauled ili kujenga institutions. Sioni kwenye CCM atakayeanza kwa kuifuta katiba pendekezwa ambayo ndiyo chanzo cha matatizo.
Kwa mazingira ya siasa za sasa ambapo waislam wamekuwa wakiandamwa na maadui wa taifs hili hasa wale wanaoona kuwa wenye dini yao tu ndo wanastahili kuongoza, sioni nafasi ya Salim kwenye mfumo huu dhalimu. Pia kuna kautamaduni ka kubalilishana baina ya Waislam na Wakristo katika nafasi ya Urais. Ni utamaduni mzuri japo una kasoro zake
Kwani kachukua form?
Wasalaam wanajukwaa!
Nadhani kila mtu anamjua huyu mwanamapinduzi,mwanadiplomasia aliyebobea wa siasa za kitaifa na kimataifa,Waziri mkuu mstaafu, katibu mkuu mstaafu wa Umoja wa Africa(AU),Mtumishi wa umma wa miaka mingi asiyekua na doa katika uongozi wake!
Huyu ni kiongozi aliyewahi kutia nia kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania miaka ya nyuma ndani ya CCM lakini rafu za kimakundi zikamchezea!
Ni mtu mwenye maono na anayekubalika kila kona ya dunia, Hakika hii ndio dhahabu ambayo CCM hakitakiwi kucheza nayo, Kama kweli inavyosemekana kua atachukua form ya kuwania urais naye wiki ijayo basi ndiye atakayemaliza kazi maana mpaka hapa kwa waliotia nia wote hakuna wa kufanana naye!
Ni mtu ambaye kwakweli kama atapitishwa ndiye atakayewapa wakati mgumu sana upinzani nchini.
Huyu mzee ni Turufu ya Taifa.
jamani ccm bado tu hamtuelewi?? ndani ya chama chenu hata mkisimamisha malaika hatumchagui adui yetu wa tanzania sio mtu ni mfumo mzima wa chama chenu
Lizabon unafujo mkuu umenichekesha sana!CCM hata wakisimamisha bata anaweza kushinda tu mbele ya mgombea wa UKAWA. Hawana lolote.
Wasalaam wanajukwaa!
Nadhani kila mtu anamjua huyu mwanamapinduzi,mwanadiplomasia aliyebobea wa siasa za kitaifa na kimataifa,Waziri mkuu mstaafu, katibu mkuu mstaafu wa Umoja wa Africa(AU),Mtumishi wa umma wa miaka mingi asiyekua na doa katika uongozi wake!
Huyu ni kiongozi aliyewahi kutia nia kugombea urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania miaka ya nyuma ndani ya CCM lakini rafu za kimakundi zikamchezea!
Ni mtu mwenye maono na anayekubalika kila kona ya dunia, Hakika hii ndio dhahabu ambayo CCM hakitakiwi kucheza nayo, Kama kweli inavyosemekana kua atachukua form ya kuwania urais naye wiki ijayo basi ndiye atakayemaliza kazi maana mpaka hapa kwa waliotia nia wote hakuna wa kufanana naye!
Ni mtu ambaye kwakweli kama atapitishwa ndiye atakayewapa wakati mgumu sana upinzani nchini.
Huyu mzee ni Turufu ya Taifa.
Ukweli ambao sijui kwanini watu wanakwepa kuusema. Watanganyika hatuhitaji expatriate president. Muda wa wazanzibar ulikwisha na mwinyi.labda achukue form kugombea zanzibar. wabara wazuri hawakosekani. rais wa muungano ndio pia rais wa tanganyika. muda wa salim ulishapita akijitokeza sasa atapata dissapointment.
CCM hata wakisimamisha bata anaweza kushinda tu mbele ya mgombea wa UKAWA. Hawana lolote.