Hahahaa bro don't take it seriously like that.
Maisha yangekuwa yamenishinda long time a ago.
kuna kitu kinaitwa the power of positive thinking. Mawazo yetu yana nguvu sana ya kufanya marekebisho ama uumbaji mpya.
pia namna awazavyo MTU ndivyo alivyo.
Umetamka kushindwa maisha, hii inaonyesha una hofu kubwa sana na maisha, ni vigumu kuendelea ukiwa na mtazamo huo Wa maisha. Stress zitakuua