Wanaume mpewe nini mtulie?

cacutee

Senior Member
Apr 9, 2024
116
263
Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.

Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.

Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.

Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?

Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.

Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.

Ni mada nimeona niilete.

Asante ni.
 
Ubwabwa!

20240402_095639.jpg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
Nimekuwa msomaji wa kimya Ila Leo Nina kitu kooni kimenikaba imebidi niingie nikiweke.
Kwanza kabisa Shikamoo kwa wale wakubwa na habari zenu kwa wale wadogo.

Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.

Nawauliza Leo mfanyiwe nini mtulie na mwenza mmoja?

Maana Wanawake wengi wamechoka kupata pid na uti sugu maana kila wakitibiwa mnaleta nyingine huko nje.

Sisemi wote hamjatulia Ila mnaoruka ruka ndio wengi zaidi. Wanawake wamekuwa wakilalamika Sana kwenye vikao vyetu.

Ni mada nimeona niilete.

Asante ni.
Ingependeza kama ungeleta Tafsiri ya kutulia kwanza.
 
Kumekuwa na tabia ya wakaka na wababa wengi kutotulia kwenye mahusiano. Na wao wamekuwa wakikiri kwamba mwanaume mmoja ana wanawake zaidi ya 1. Hii imekuwa kero Sana kwa wanawake kwa kuwa hawapendezwi na wenza wao kutotulia na mpenzi au mwenza mmoja.
Wanawake ni wengi kuliko wanaume, je hao wanaozidi wanatatuaje hitaji la kimaumbile, tazama hata katika hali ya kawaida kujichua kunavyopigwa vita
 
Back
Top Bottom