kawakama
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,299
- 391
Kalapina bonge la mdini,naona siku izi ameamua kujiweka wazi.eti sasa ivi anafanya harakati za kupambana na ukatoliki!
Msikilize tungo zake kwenye ngoma yake mpya "vatican ndio wanaotuchagulia viongozi"..kuna mstari mwingine anasema "sili nguruwe wala siabudu sanamu" sikiliza kwa makini 'mstari wa mbele' na 'umoja ni nguvu' utanisoma..
Ana misimamo ya kitoto sana ndio maana anaongoza kundi ambalo halipo'kikosi cha mizinga' kwenye kundi kabaki ye na mkewe tu Mau,machizi wote wamemkimbia hadi mwanae Msemakweri...
huyo kalamavi sijui kalapima yupo adicted na drugz pamoja na MADRASA we unadhani akilizake zitakuwa sawa kweli? anasema haabudu sanamu mbona yeye anamuabudu mungu wa mwezi "ALLAH" pamoja na mfanyabiashara wa kiarabu ambaye pia alikuwa ni mchunga punda na ngamia a.k.a mtume mohamad,anadhani nguruwe pekee ndo haramu lakini mabangi anayoyavuta ni HALALI....kwanza hana msimamo ndo maana ameolewa bila posa na WAFU FM