Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
kaka yko n mwanaume au mwanamke?
jf ina mambo!!!.
kaka yko n mwanaume au mwanamke?
kaka yko n mwanaume au mwanamke?
Mh, mi natokea mlango wa nyuma kwaheri.
Sijui nikiite kipaji au nguvu au balaa .....
Kaka yangu wa kuzaliwa ana miaka 38 hajaoa, ana watoto wengi tu. Kaka yangu huyu amekuwa akizaa na wanawake wagumba au matasa kwa watoto wake wote.
Mtoto wa kwanza alizaa na mwanamke wa miaka 41 ambaye aliachika mara 4 kwa kukosa mtoto, na yeye pasipo kujua kuwa ana hicho kipaji alitembea na huyo dada na yule dada akapata ujauzito na kuzaa mtoto wa kiume. Alitaka waoane ila kaka yangu alikataa akasema kuwa huyo mama ni mkubwa kwake. Yule mama aliolewa na hajazaa tena mpaka leo.
Haikuishia hapo yule dada aliadisia marafiki zake ambao walikuwa hawapati mimba na kutokana na huruma ya kaka yangu akawa anawapa mbegu na wote wamepata watoto wa kiume.
Kisayansi sijui inakuwaje hapo.....
Mkuu hapo sio kipaji wala nini..hao wanawake sio wagumba mkuu..mgumba ni mwanamke asiye zaa. Kama hawakuzaa kwa muda mrefu huwezi kuhitimisha kuwa ni wagumba ila hawakupata damu inayoendana nao au wanaume waliokuwa nao nao wana matatizo..mwambie kakayo asiendeleze hako" ka kipaji" katamwondoa karne hizi si zile za kuchapa kavu kwa ufahari kuwa unaweza kuzalisha..muonye..hao watoto anaozaa na wanawake ambao hajawaoa anawapa mateso bure..atulie aoe na akae na mwanamke atakae zaa nae mpaka kipaji chake chote kiishe!
Nikweli nimetokea jamii ya wafugaji na chakula yangu ni nyama, maziwa na kichuri ya utumbo mdogo pamoja na ugali.NGULI bwana mdogo mbona unanitatangaza tena humu jf?anyway km kuna mtu anahitaji hyo service anipm,mana nguvu hiyo nimepewa na MUNGU bure so sina sababu ya kutoitoa bure...karibuni sana.mbona mambo hayo yapo jaribu kutembea na bila shaka uyo jamaa katokea ktk jamii ya wafugaji.
Naomba unitumie namba zake za sim kuna binti wa miaka 65 hajawai zaa,akimsaidia kwa hilo ameahidi kumpa donge nono.
Sijui nikiite kipaji au nguvu au balaa .....
Kaka yangu wa kuzaliwa ana miaka 38 hajaoa, ana watoto wengi tu. Kaka yangu huyu amekuwa akizaa na wanawake wagumba au matasa kwa watoto wake wote.
Mtoto wa kwanza alizaa na mwanamke wa miaka 41 ambaye aliachika mara 4 kwa kukosa mtoto, na yeye pasipo kujua kuwa ana hicho kipaji alitembea na huyo dada na yule dada akapata ujauzito na kuzaa mtoto wa kiume. Alitaka waoane ila kaka yangu alikataa akasema kuwa huyo mama ni mkubwa kwake. Yule mama aliolewa na hajazaa tena mpaka leo.
Haikuishia hapo yule dada aliadisia marafiki zake ambao walikuwa hawapati mimba na kutokana na huruma ya kaka yangu akawa anawapa mbegu na wote wamepata watoto wa kiume.
Kisayansi sijui inakuwaje hapo.....
Naomba unitumie namba zake za sim kuna binti wa miaka 65 hajawai zaa,akimsaidia kwa hilo ameahidi kumpa donge nono.