NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Sijui nikiite kipaji au nguvu au balaa .....
Kaka yangu wa kuzaliwa ana miaka 38 hajaoa, ana watoto wengi tu. Kaka yangu huyu amekuwa akizaa na wanawake wagumba au matasa kwa watoto wake wote.
Mtoto wa kwanza alizaa na mwanamke wa miaka 41 ambaye aliachika mara 4 kwa kukosa mtoto, na yeye pasipo kujua kuwa ana hicho kipaji alitembea na huyo dada na yule dada akapata ujauzito na kuzaa mtoto wa kiume. Alitaka waoane ila kaka yangu alikataa akasema kuwa huyo mama ni mkubwa kwake. Yule mama aliolewa na hajazaa tena mpaka leo.
Haikuishia hapo yule dada aliadisia marafiki zake ambao walikuwa hawapati mimba na kutokana na huruma ya kaka yangu akawa anawapa mbegu na wote wamepata watoto wa kiume.
Kisayansi sijui inakuwaje hapo.....
Kaka yangu wa kuzaliwa ana miaka 38 hajaoa, ana watoto wengi tu. Kaka yangu huyu amekuwa akizaa na wanawake wagumba au matasa kwa watoto wake wote.
Mtoto wa kwanza alizaa na mwanamke wa miaka 41 ambaye aliachika mara 4 kwa kukosa mtoto, na yeye pasipo kujua kuwa ana hicho kipaji alitembea na huyo dada na yule dada akapata ujauzito na kuzaa mtoto wa kiume. Alitaka waoane ila kaka yangu alikataa akasema kuwa huyo mama ni mkubwa kwake. Yule mama aliolewa na hajazaa tena mpaka leo.
Haikuishia hapo yule dada aliadisia marafiki zake ambao walikuwa hawapati mimba na kutokana na huruma ya kaka yangu akawa anawapa mbegu na wote wamepata watoto wa kiume.
Kisayansi sijui inakuwaje hapo.....