qwest
Member
- May 9, 2009
- 29
- 2
wenzangu ninatafuta suluhisho.
sisi tuko huku ugenini pekee yetu, mzazi peke yake nyumbani africa.
kaka kapoteza kazi lay off. miezi minne sasa ameishi na mimi. ameishiwa heli, gari imechukuliwa. Twaishi in the South. unemployment imezidisha.
mie nimechoka kumweka kwangu. hana senti hana cho chote. ana vyeti vyake.
tumejaribu kumuarifu arudi africa atafuta njia nyingine. mama naye anataka mtoto mmoja arudi akae naye. kaka sioni dalili za kuondoka huku ugenini.
nifanye vipi. mwezi ujao ninataka kumhamisha. nitamtafutia pa kukodisha. nitamlipia mwezi wa kwanza na pengine wa pili halafu nitamwacha ajipambanie. je huu ni ukorofi.
ningependa either atafute njia ya kupambana mwenyewe mie nina shida zangu, au aone kurudi nyumbani kama suluhisho. haya maisha ya ugenini ni magumu sana hasa kama huna hela wala gamba............
nisaidieni!!!!
namtakia wema naona ni kama anajiwaste akikaa hapa bila nothing.
sisi tuko huku ugenini pekee yetu, mzazi peke yake nyumbani africa.
kaka kapoteza kazi lay off. miezi minne sasa ameishi na mimi. ameishiwa heli, gari imechukuliwa. Twaishi in the South. unemployment imezidisha.
mie nimechoka kumweka kwangu. hana senti hana cho chote. ana vyeti vyake.
tumejaribu kumuarifu arudi africa atafuta njia nyingine. mama naye anataka mtoto mmoja arudi akae naye. kaka sioni dalili za kuondoka huku ugenini.
nifanye vipi. mwezi ujao ninataka kumhamisha. nitamtafutia pa kukodisha. nitamlipia mwezi wa kwanza na pengine wa pili halafu nitamwacha ajipambanie. je huu ni ukorofi.
ningependa either atafute njia ya kupambana mwenyewe mie nina shida zangu, au aone kurudi nyumbani kama suluhisho. haya maisha ya ugenini ni magumu sana hasa kama huna hela wala gamba............
nisaidieni!!!!
namtakia wema naona ni kama anajiwaste akikaa hapa bila nothing.