kaka ama dada asiye na kazi huku majuu

qwest

Member
May 9, 2009
29
2
wenzangu ninatafuta suluhisho.

sisi tuko huku ugenini pekee yetu, mzazi peke yake nyumbani africa.

kaka kapoteza kazi lay off. miezi minne sasa ameishi na mimi. ameishiwa heli, gari imechukuliwa. Twaishi in the South. unemployment imezidisha.

mie nimechoka kumweka kwangu. hana senti hana cho chote. ana vyeti vyake.

tumejaribu kumuarifu arudi africa atafuta njia nyingine. mama naye anataka mtoto mmoja arudi akae naye. kaka sioni dalili za kuondoka huku ugenini.

nifanye vipi. mwezi ujao ninataka kumhamisha. nitamtafutia pa kukodisha. nitamlipia mwezi wa kwanza na pengine wa pili halafu nitamwacha ajipambanie. je huu ni ukorofi.

ningependa either atafute njia ya kupambana mwenyewe mie nina shida zangu, au aone kurudi nyumbani kama suluhisho. haya maisha ya ugenini ni magumu sana hasa kama huna hela wala gamba............

nisaidieni!!!!

namtakia wema naona ni kama anajiwaste akikaa hapa bila nothing.
 
duh huo kweli mtihani.
Ila kabla ya kurudi bongo make sure anafanya utaratimu mzuri bila pesa wala kitu cha kufanya bongo ni noma pia ukizingatia watu wanachua unakuja na hela,so kama anenda huko aanze ku apply online at least awe anachua wapi pa kuanzia na interview.

Kuna job agents nyingi bongo siku hizi ....radarrecruitment.com,tzonline, and so on just google.
 
mtu mwingine anapokuwa na uhakika wa kulala na kula hana shida ya kupata tabu au kupambana. Nimeona mimi kwangu, jamaa same type anakuwa yupo yupo na nzuri zaidi mi napiga kazi toka asubuhi narudi saa nne usiku nakuta jamaa hata menu hajaandaa anaona aibu kwenda sokoni! Duh kazi kweli kweli!

Mwaambie kabisa aache utozi, hakuna kubweteka apige kazi yeyote ile ilimradi anapata pesa. Ajichanganye kwa kasi, aongee na watu mbali mbali, jawabu lako siyo ukorofi ila jamaa akipata matatizo we ndo wa kwanza pia kukuathiri, lakini cha msingi mwambie kama anaweza arudi home bongo atafute kazi nyingine haijakaa vizuri sana.
 
sylver asante. shida hachukui serious kutafuta kazi kwingine. si state nyingine, si nchi nyingine. kwangu naona mtu akikosa mahali comfortable pa kulala, pa kuwatch tv, pa kusurf internet, pa kurelax, atajilazimisha kuSINK or SWIM. ndio sababu lazima nimhamishe. ana cheti cha masters pia, shida tu gamba. pia ni yule anapangia kazi za kiofisi kumwokoa. miye nimechoshwa na haya yote ninazo shida zangu mwenyewe.:confused2: nitaamrifu juu ya agents......... pengine atarespond.....

RedDevil.........kweli UMENENA! ndivyo navyofikiri.
 
naona kama mkenya weye, ila huyo bro wako ame-relax ndiyo maana hajibidiishi kusaka majob, we mpangishie mwezi mmoja au miwili then atajiju, lazima atie akili, sasa na masters yake nini kinamshindwa kwanini asirudi huku kwetu tuendeleze kilimo kwanza
 
kipilipili, tutajaribu............ inaonekana kuondoka AFrica ni harusi............kurudi ni matanga kwa wengine.......... tutajaribu
 
mkuu kuna websites za relief organizations, they may help kwa yeye kutoka kama anataka kutoka states... wengi wa hawa relief org. wanapenda waliosoma huko kwenu mlipo...

maadam hujasema ana makaratasi ya nini, si vibaya kusearch generally tu!! pamoja na hayo, you have to be string and bold.... mpe ukweli tupu
 
tuko Marekani................ uchumi umekua mgumu

nimempa mawaidha yenu halafu mwezi ujao ni atapambana mwenyewe.
 
Mwambie tena kwa upole kuwa arudi nyumbani kaka! . Watu wenye Master Degree wanapata kazi tu tena sana isipokuwa kama ni mtu wa kuchagua tu kazi ya aina moja tu.
Ikionekana ni shida kabisa basi Msaidie ili arudishe (asafirishwe) kwa nguvu maana kheri lawama kuliko fedheha kwa kuwa hata nauli ya kurudia anaweza kuwa hana sasa.
 
wenzangu ninatafuta suluhisho.

sisi tuko huku ugenini pekee yetu, mzazi peke yake nyumbani africa.

kaka kapoteza kazi lay off. miezi minne sasa ameishi na mimi. ameishiwa heli, gari imechukuliwa. Twaishi in the South. unemployment imezidisha.

mie nimechoka kumweka kwangu. hana senti hana cho chote. ana vyeti vyake.

tumejaribu kumuarifu arudi africa atafuta njia nyingine. mama naye anataka mtoto mmoja arudi akae naye. kaka sioni dalili za kuondoka huku ugenini.

nifanye vipi. mwezi ujao ninataka kumhamisha. nitamtafutia pa kukodisha. nitamlipia mwezi wa kwanza na pengine wa pili halafu nitamwacha ajipambanie. je huu ni ukorofi.

ningependa either atafute njia ya kupambana mwenyewe mie nina shida zangu, au aone kurudi nyumbani kama suluhisho. haya maisha ya ugenini ni magumu sana hasa kama huna hela wala gamba............

nisaidieni!!!!

namtakia wema naona ni kama anajiwaste akikaa hapa bila nothing.

Ungekua umemfikishia ujumbe kama ulivyoufikisha hapa Jamvini. leo angekua ashafika Bongo. Wasi wasi wangu ni kwamba ujumbe unamfikishia kimafumbo, ila yeye anajifanya haelewi.
 
wenzangu ninatafuta suluhisho.

sisi tuko huku ugenini pekee yetu, mzazi peke yake nyumbani africa.

kaka kapoteza kazi lay off. miezi minne sasa ameishi na mimi. ameishiwa heli, gari imechukuliwa. Twaishi in the South. unemployment imezidisha.

mie nimechoka kumweka kwangu. hana senti hana cho chote. ana vyeti vyake.

tumejaribu kumuarifu arudi africa atafuta njia nyingine. mama naye anataka mtoto mmoja arudi akae naye. kaka sioni dalili za kuondoka huku ugenini.

nifanye vipi. mwezi ujao ninataka kumhamisha. nitamtafutia pa kukodisha. nitamlipia mwezi wa kwanza na pengine wa pili halafu nitamwacha ajipambanie. je huu ni ukorofi.

ningependa either atafute njia ya kupambana mwenyewe mie nina shida zangu, au aone kurudi nyumbani kama suluhisho. haya maisha ya ugenini ni magumu sana hasa kama huna hela wala gamba............

nisaidieni!!!!

namtakia wema naona ni kama anajiwaste akikaa hapa bila nothing.

Ana vyeti vyake? Arudi nyumbani, hatakosa kazi. Elimu haiozi, ni amali isiyochoka. Bora nyumbani kuliko kuishi ugenini kama mtumwa au popo ajifichaye mchana.
 
wee unasubiri nini mlipue tu.....kwani atajua,

Acha matani amlipue ndugu yake. Huu mpango wa kumpangishia naona huyu ndugu anajiongezea matatizo, hiyo pesa iwe nauli ya kurudi bongo. Akikataa kurudi mpatie notice ya kuhama atafute pa kwenda.
 
wenzangu ninatafuta suluhisho.

sisi tuko huku ugenini pekee yetu, mzazi peke yake nyumbani africa.

kaka kapoteza kazi lay off. miezi minne sasa ameishi na mimi. ameishiwa heli, gari imechukuliwa. Twaishi in the South. unemployment imezidisha.

mie nimechoka kumweka kwangu. hana senti hana cho chote. ana vyeti vyake.

tumejaribu kumuarifu arudi africa atafuta njia nyingine. mama naye anataka mtoto mmoja arudi akae naye. kaka sioni dalili za kuondoka huku ugenini.

nifanye vipi. mwezi ujao ninataka kumhamisha. nitamtafutia pa kukodisha. nitamlipia mwezi wa kwanza na pengine wa pili halafu nitamwacha ajipambanie. je huu ni ukorofi.

ningependa either atafute njia ya kupambana mwenyewe mie nina shida zangu, au aone kurudi nyumbani kama suluhisho. haya maisha ya ugenini ni magumu sana hasa kama huna hela wala gamba............

nisaidieni!!!!

namtakia wema naona ni kama anajiwaste akikaa hapa bila nothing.


Kumpangishia siyo jambo jema hata kidogo. Utamfanya awe shoga bila kupenda. Huyo ni wa kurudi Bongo tu. Maisha ya mbele huko hivi sasa hayafai. Cha msingi kupambana hapa. Tunamkaribisha sana kwa elimu yake anaweza hata kuwa Diwani
 
undugu kazi-na ni ngumu kufanya maamuzi ktk masuala kama haya,ila ugenini bila kazi-hapatoshi
 
tuko Marekani................ uchumi umekua mgumu

nimempa mawaidha yenu halafu mwezi ujao ni atapambana mwenyewe.

Does he have papers? If so, does he have MBA, MSc or MA? In what area of specialization? Let me have the full details, and then I'll see what we can do next.
Thanks
 
RAJ PATEL JR shida hana papers. mwenzangu anasema hawezi kuondoka bila papers. sasa anapoteza wakati bila kazi na mwishowe pengine atapata kazi not the degree studied. sitaki kumwongezea stress, lakini kusema kweli nimechoka! :confused2: hata nilimwambia bahati ya kila mtu si marekani, pengine ni kokote kwingine, lakini hawanisikii.......... pengine i am being impatient lakini nikimwona mtu in their prime akipoteza time hivi nashindwa kuelewa.

kuna wakati alikuwa tayari halafu akaongea na watu wengine nao wote wakamtia hofu kurudi nyumbani. walimwambia heri azidi kujuta hapa siku moja mambo yatakuwa sawa. nauliza, hiyo siku ni lini. nchi hii ni rahisi sana kuketi ukitarajia na maisha yanakataa kubadilika! utaamka miaka kumi imekupita na hauna maendeleo!
 
Arudi home, au vipi ajichanganye kwenye kazo yeyote tu. Maana anaonekana anachagua eeh!!!
 
Forthrightly push the guy arudi home….si kasoma vema bana? So why anaogopa to face the music? Ana Masters's ya nini? I can advice….
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom