kaka ama dada asiye na kazi huku majuu

huyo naona msaada mzuri ni kumrudisha tz ambako atapata kazi nzuri kuliko kumpangishia...................!
 
mwambie bro wako aache "upuuzi"...anyway..how old is he?...maana mambo mengine yanachangiwa na umri mdogo...if he's below 25yrs mwambie aendelee kukaza mpaka afikishe 30...kama yupo 30 and above mwambie afanye fasta aje mjini nimpe michongo "ILA LAZMA AENDE RESS MWANZO MWISHO LAA SIVYO ITAKULA KWAKE FASTAAA"...

mwambie hapa town deal kibao cha msingi awe na watu...hizo papers na elimu yake aweke kapuni kinachohitajika ni speed n accuracy kwenye mishemishe za kitaa..."POLENI KWA KUFULIA NA MAREKANI YENU"...PIA NATAMANI HUU UJUMBE UWAFIKIE VIJANA WENGI WENYE IMANI POTOFU KUWA MAISHA NI MAREKANI....

au kama vipi wewe rudi home uone "JEURI YAKE YA KUNGANGANIA UGENINI" anaitoa wapi...ni maoni tuuu
 
wewe uliyeleta topic subiri siku ukikosa kazi labda ndio utaelewa unachoongea,na nyie mnaosema solution arudi home naona ni wanafiki wakubwa na wengi hamna idea na mnachoongea,kukosa kazi ni jambo la kawaida na sometime inachukua muda kupata nyingine,kwanza huko bongo unemployment is like 100% sijui aje kufanya nini?naona mnataka kugawana njaa zenu tuu,msaidie mwenzako sio kumpa unnecessary pressure wakati hali ya kazi States sasa sio nzuri,leo yeye kesho wewe bro...tumeona watu wengi sana kama wewe mwisho wao sio mzuri.
 
mwambie bro wako aache "upuuzi"...anyway..how old is he?...maana mambo mengine yanachangiwa na umri mdogo...if he's below 25yrs mwambie aendelee kukaza mpaka afikishe 30...kama yupo 30 and above mwambie afanye fasta aje mjini nimpe michongo "ILA LAZMA AENDE RESS MWANZO MWISHO LAA SIVYO ITAKULA KWAKE FASTAAA"...

mwambie hapa town deal kibao cha msingi awe na watu...hizo papers na elimu yake aweke kapuni kinachohitajika ni speed n accuracy kwenye mishemishe za kitaa..."POLENI KWA KUFULIA NA MAREKANI YENU"...PIA NATAMANI HUU UJUMBE UWAFIKIE VIJANA WENGI WENYE IMANI POTOFU KUWA MAISHA NI MAREKANI....

au kama vipi wewe rudi home uone "JEURI YAKE YA KUNGANGANIA UGENINI" anaitoa wapi...ni maoni tuuu

...michongo my azz,nyie watu mna njaa kali sana na quality ya life yenu ni very poor,bongo hata kama una pesa shida ni zile zile tuu kuanzia ujambazi,mbu,foleni,migawo ya umeme,rushwa,maji hakuna etc bongo mmezoea matatizo mpaka mnaona kawaida ndio maisha yanatakiwa kuwa hivyo,hakuna nchi nzuri kama states na ukiona mtu kaishi huku then karudi anatukana states ujue alikuwa b-wege tuu hakusoma na hakuweka paper zake vizuri
 
Koba kusema kweli njama si kumfukuza mwenzangu. huku marekani umeona wageni wangapi wamepoteza muda wakingoja mambo yawe sawa na yanazidi kuwa complicated?????????? wakati mwingine ni heri utafute haki yako kwingine............... kuna watu ambao bahati yao ni kwingine. na kusema kweli watu wengi sana wampetoza kazi mwaka huu, hata kupata job interview shida! Let's be realistic.

kaka mwenyewe nimemwambia akirudi bongo nitazidi kumsaidia. kwa sasa hata ameanza kuwa depressed............... kijana mdogo yuko depressed, hiyo ni balaa au siyo!

wewe uliyeleta topic subiri siku ukikosa kazi labda ndio utaelewa unachoongea,na nyie mnaosema solution arudi home naona ni wanafiki wakubwa na wengi hamna idea na mnachoongea,kukosa kazi ni jambo la kawaida na sometime inachukua muda kupata nyingine,kwanza huko bongo unemployment is like 100% sijui aje kufanya nini?naona mnataka kugawana njaa zenu tuu,msaidie mwenzako sio kumpa unnecessary pressure wakati hali ya kazi States sasa sio nzuri,leo yeye kesho wewe bro...tumeona watu wengi sana kama wewe mwisho wao sio mzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom