BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 4,947
- 10,791
HAO WANAUGUA NJAA TU.Kwa dalili hizo wewe unadhani ni nini?
WAKIPEWA MSOSI WAMESHAPONA.
HAO WANAUGUA NJAA TU.Kwa dalili hizo wewe unadhani ni nini?
Lakini anasimamia mbali. Vipi kwani ameshaenda kuziona familia zilizofiwa na ndugu zao?Naona Chalamila amewakusanya watu hapo uhuru Bukoba
Ccm hii hiii ambayo kiongozi kakwepa kumbukizi ya msiba wa JPM?Kadi ya ccm
piga nyetoProsija ni kama zipi Sasa za kuchukua tuvae barakoa au tuepuke mikusanyiko au tunawe mikono au vip sijaona kabisa watu wakizungumzia jinsi ya kujikinga .
Kingereza hakikupendi.
Sawa naona nia yako ilikuwa kumchanganya nadhani umefanikiwa.Kwani nani kakwambia nataka mawasiliano na trolls?
Sidhani kama ni sahihi kuwaza hivi.Vita bukoba ukimwi bukoba tetemeko bukoba sasa apo unabisha vipi kama hamna laana
Hiyo ni nyara za serikaliIdadi ya vifo ikoje kwasasa
Wameacha kutangaza kabisa? Mtakwisha hukoHiyo ni nyara za serikali
Wameacha kutangaza kabisa? Mtakwisha huko