Kagera kuna hali ya hatari, kumezuka ugonjwa wa kutokwa damu puani na mdomoni. Watu 5 wafariki dunia 2 wako hospitali. Serikali ichukue hatua haraka

Wapige marufuku kuingia na kutoka hapo
Mbona mnajitoa ufahamu wakati tulishaambiwa miaka zaidi ya 1000 kuwa mjitenge?
 
Mlitakiwa kusema LIVE kwamba ni EBOLA mnazunguuuuka Mbuyu, hao jamaa si wako karibu sana na wale wataalamu wa kula NYANI?
 
Hii siyo sawa. Unataka uliemjibu apate ujumbe wako au mchanganye? Moja ya sehemu ya mawasiliano ni ujumbe ufike kwa hadhira. Mjibu kwa kiswahili.
Kwani nani kakwambia nataka mawasiliano na trolls?
 
Mama yangu kanifahamisha kuhusu kifo cha nesi anayefahamiana naye. Amekufa kwa dalili za EBOLA. Inasemekana alimhudumia mwenye dalili hizo. Inasemekana kuna watu kama 4 weshafariki with the same symptoms. Wizara ya Afya mpo slow sana kukabiliana na emergency. By now ilibidi kuwepo na taarifa rasmi kuhusu hali hii.
Walivyo na roho za kichawi hawa watu wataficha hii taarifa. Na hawataendelea kuripoti.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
WEWE NI DOKTA AU DOKTA UCHWARA?

AU NI BOGA LA MTANDAONI LINALOJITUTUMUA?
Wewe ni kiazi wala hujui uliko, unajua dalili za ebola ni zipi ama unavamia nyuzi tu na mijezi yako ya fisiemu, ndiomaana lile jendawazimu lenu lilikufa na corona kwa ubishi wake nyambaf
 
SEREKALEE NDO BABAKO.

NA UTULIE, USIJIFANYE DOKTA TAMBI TAMBI.
mafisiemu akili kisoda kwahiyo mnasubiri hangaya aje awaambie mchukue tahadhari, na wewe utakua mhaya tu nyambaf. mlishaambiwa za kuambiwa mchanganye na zenu mnashupaza shingo tu kwendraaaaaaaaaa
 
mafisiemu akili kisoda kwahiyo mnasubiri hangaya aje awaambie mchukue tahadhari, na wewe utakua mhaya tu nyambaf. mlishaambiwa za kuambiwa mchanganye na zenu mnashupaza shingo tu kwendraaaaaaaaaa
UNASTAHILI KUNYUKWA BAKORA TATU ZA MAKALIO.
 
Back
Top Bottom