SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Wanaandaliwa zawadi nono toka kwa mabwana zao CCM kwa kazi nzuri ya kuivuruga kambi ya upinzani bungeni.
"Nimefurahi kazi yetu ya jana (juzi) imesaidia Mrema na Cheyo wamepata uenyekiti wa kamati zinazotakiwa kuongozwa na wabunge wa upinzani," alisema Hamad.