Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
Maskini hamad rashidi misuli yote ile amechemka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kafulila nae kachemka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Sasa wanatafuta lipi lingine? Wamekwisha kabisa kabisa! Chadema itaendelea kusimamia msimamo wake na tunaipenda hio -songeni mbele.
Kwani waligombea uenyekiti wa kamati zipi mkuu??....