Owosumbaku
Member
- Jan 25, 2011
- 10
- 1
KAtika matokeo ya uchagizi wa wenyeviti wa kamati za bunge sijaona majina ya HAMAD RASHID na KAFULILA. Kwa kuwa ninaamini wamegombea nafasi mojawapo kati ya zile zilizowatuma kuomba bunge kuwafungisha ndoa ya LAZIMA na CHADEMA ili waziongoze, je wametoswa?
Tunaomba mtujuze wenye taarifa.
Tunaomba mtujuze wenye taarifa.