Hili la kuvuliwa UANACHAMA na kakikundi kadogo ka watu kanakotafuna RUZUKU yetu kwenye vihoteli vya hapa Dar halafu unapoteza UBUNGE wa JIMBO la wapiga kura maelfu mahakama zetu zitusaidie kwa kweli. Msajili wa vyama ameshindwa. Analialia tu kama mbwa aliyemwona chatu.
KATIBA ya JMT inatuangusha kwa hili. Inamtaka mtu kugombea kupitia chama lakini haisemi itamlindaje anapoandamwa na "best loosers" kama akina Mbatia.
Msajili angetaka kuikabili hali hii angeweza. Ni kupeleka tu rekebisho la sheria iliyoiunda ofisi yake ikivitaka vyama vipeleke pendekezo kwake na jopo la wataalamu wake kuamua juu ya mtu kufukuzwa au kuvuliwa uanachama. Badala yake anapoteza muda kulalama tu kwenye Tv na magazeti!Hii itabaki kuwa changamoto katika zoezi la kuanda katiba mpya
Habari za kijiweni!
Kama ni gazeti basi habari imeandikwa "Na Mwandishi wetu"
We should make sure, we are civiliazed enough to conq. the victory, but we cnt do it while we are political allied, spinned and poluted ''If we beleave, we can..if we come together we can make a history'' mahakama kuu imenipa furaha sana kuamuru kafulila aendelee kuwa Mbunge kwani wanasiasa wenye tamaa za ubinafsi wa kumiliki vyama kama asasi zao hawatakuwa na nguvu za aina hiyo tena..Nyakarungu.
We should make sure, we are civiliazed enough to conq. the victory, but we cnt do it while we are political allied, spinned and poluted ''If we beleave, we can..if we come together we can make a history'' mahakama kuu imenipa furaha sana kuamuru kafulila aendelee kuwa Mbunge kwani wanasiasa wenye tamaa za ubinafsi wa kumiliki vyama kama asasi zao hawatakuwa na nguvu za aina hiyo tena..Nyakarungu.
Kwani sheria inasemaje juu ya mbunge aliyefukuzwa uanachama na CC ya chama chake? Sheria ziko wazi sana ndugu yangu kuwa huwezi kuendelea kuwa mbunge pale ambapo chama chako kimekukataa. Huu uamuzi wa mahakama ni kuingilia sheria ambazo tayari zimewekwa.
Nyie wanajamii forum mbona mna vichwa vigumu vya kuelewa. Maana yake ni kwamba atakuwa ameenda kuweka pingamizi la uamuzi wa yeye kukoma ubunge mpka hapo kesi aliyofungua itakapo kwisha. Kesi huchua muda mrefu wakati mwingine kusikilizwa sasa wakati kesi inaendelea kusikilizwa yeye aendelee kuwa mbunge. Kama mahakama itaridhia alifukuzwa kwa kufuata taratibu za chama then atakoma ubunge la sivyo ataendelea kupeta
huu uamuzi wa mahakama haujakaa vizuri
mimi nilifikiri mahakama ingeamuru kafulila aendelee kuwa mwanachama wa nccr mpaka kesi ya msingi ya kuvuliwa uanachama bila kufuata utaratibu itakapomalizika, kwanini mahakama ime rush kwenye ku withold ubunge?
Huyu Zitto bado anaaminika na watanzania kweli?
Huyu Zitto bado anaaminika na watanzania kweli?
We should make sure, we are civiliazed enough to conq. the victory, but we cnt do it while we are political allied, spinned and poluted ''If we beleave, we can..if we come together we can make a history'' mahakama kuu imenipa furaha sana kuamuru kafulila aendelee kuwa Mbunge kwani wanasiasa wenye tamaa za ubinafsi wa kumiliki vyama kama asasi zao hawatakuwa na nguvu za aina hiyo tena.